Mbunge wa jimbo la mbulu bw mustapha akonay ameangushwa kwenye kura za maoni zilizofanyika leo mjini mbulu na kura zake hazikutosha kupeperusha bendera ya chadema katika uchaguzi mkuu ujao, hata hivyo mbunge huyo amekubali matokeo na kukiri atamsaidia mgombea aliyechaguliwa ili waweze kupata...
Chama cha ACT - WAZALENDO leo kimevuna wanachama wapya takribani 83 katika kata mbili, ambazo ni Mafisa (52) na kata ya Mji mkuu (31), katika operesheni hiyo maalum ya kuhakikisha kata zote 29 za jimbo la morogoro mjini zinachukuliwa na chama cha ACT - WAZALENDO ni muendelezo wa mikakati ya...
Ndugu wanachama, wakereketwa, wapenzi na wafuasi wote wa chama kipendwa cha ACT WAZALENDO mkoani Morogoro tunapenda kuwataarifu kwamba chama chetu turufu kimefungua ofisi ya kisasa maeneo ya Boma road karibu na ofisi ya chama wananchi CUF, Karibuni sana kwa wanaoitaji kadi, wenye maswali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.