Recent content by Mohamedallysaid58

  1. Mohamedallysaid58

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Naomba ushauri zaidi kuhusu kozi ipi bora Kati ya pure education na with education kwa mwanafunzi aliemaliza kidato cha sita na kupata division 3 ya point 13 PCB akiwa na ufaulu wa Physics D, Chemistry D,Biology E, Bam E na Gs F
  2. Mohamedallysaid58

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    mbingunikwetu thanks kwa kunifahamisha je hizo kozi zote za sua ni zipi hapo funguka zaidi hapo
  3. Mohamedallysaid58

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Na je mtu aliepata div 3 point 13 PCB . Physics D, Chemistry D, Biology E , Bam E Gs S anaweza kusoma nn chuo na je anaweza pata mkopo kwa ufaulu huo?? bukedde
  4. Mohamedallysaid58

    Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2017/18

    Na je kwa mtu huyu aliepata division 3 point 13 phisics D, Biology E, Chemistry D, Gs S, Bam E anaweza kupata chuo na mkopo? Je ni course gani anaweza kusomea? Naomba msada wakuu
  5. Mohamedallysaid58

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Wakuu naombeni msaada niwekeni ya chang'ombe Duce yote
  6. Mohamedallysaid58

    Baraza la Mitihani (NECTA) latangaza Matokeo ya Kidato cha sita 2017

    Naomba wekeni matokeo ya chang'ombe secondary kwa aliyeyaona
  7. Mohamedallysaid58

    Matokeo ya kidato cha sita 2017 yatatoka lini?

    Matokeo bado ila muda wowote wanaweza kuyaachia
  8. Mohamedallysaid58

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Pamoja kiongozi noted ushauri wako family zetu ndio hizo hizo za kimasikini ila tutajikwamua tu ili mradi dogo apate mahitaji muhimu kwa faida ya maisha yake. Ubavu
  9. Mohamedallysaid58

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Ubavu kiongozi nimekuelewa Sana kijana ni Wa kiume pia hana kabisa mambo ya kijingajinga ya kupoteza muda. Ulimaliza mwaka gani hapo mtwara Tech? maana mpaka sasa naona memory yote ipo kichwani Kama vile bado unasoma hapo. Na vp kuhusu facilities Kama vitabu vya biology, physics na chemistry...
  10. Mohamedallysaid58

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Mkuu Ubavu umegusa sehemu yake nilipokuwa napataka na mm nina mdogo wangu kachaguliwa comb ya PCB mwaka huu hapo hapo Mtwara Tech kutoka O level ana division 2 ya point 19 shule ya kata ana BCB kwa masomo ya PCB. So naomba unishauri kuhusu hii shule maana nilikuwa nataka nimchukulie uhamisho...
  11. Mohamedallysaid58

    Nataka niache advance PCB nahisi imenishinda

    Acha uoga kijana endelea kupambana na PCB hakuna kinachoshindikana ukimuweka mungu mbele na kupiga msuli kwa bidii hope matunda utayaona mbeleni kuliko kukata tamaa sasa. Kwani hata huko chuo unapotaka hamna urahisi kihivyo bila ya kukaza napo utaona mauzauza tu.
Back
Top Bottom