Lugha zote ni kifaransa na baadhi zinaongea kirundi
Channel za nyumbani hakuna
Channel tatu ndio zinazoonesha kwa lugha ya kingereza
433
434
435
Na pia hizo ndio zinazo onesha world Cup
Changamoto hiyo mpaka sasa sijaona
Kwasababu mimi ndio wakala wakulipia
Na wote alio nunua kwangu na wengi wametoka humu humu jf sijasikia wakilalamika kuhusu malipo
Channel ni nyingi zime base kwa Lugha ya kifaransa
Channel za cartoon zipo pia kwa kifaransa
Ulipaji wake mimi mwenyewe ndio nashughulikia hilo kwa mwezi ni Tsh.45,000 ambapo channel zote za mpira zinazo onyesha ligi kubwa duniani zipo
Package za channel zote 500 ni Tsh.90,000 ambapo kuna hizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.