Recent content by moesy

  1. M

    Nani anakumbuka ajali ya msafara wa Rais Hayati Mkapa dhidi ya lori kwenye kona ya Bwiru mkoani Mwanza

    We mleta mada hiyo ajali haikutokea Kona ya Bwiru,Bali ilitokea Nyakato sokoni,na ilikuwa ni basi siyo Lori.
  2. M

    DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

    Naweza tunza ukoo wenu mzima,kula asubuhi hadi jioni(chakula bora),kuvaa,kusafiri upendavyo kwa miaka 50.
  3. M

    DOKEZO TAMISEMI tusaidieni, tunakufa njaa kwenye vituo vya kazi

    Punguza ujuwaji bwan mdogo, unazani wewe ndiye wa kwanza kuajiriwa huko halmashauri? Kaa kimya.
  4. M

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Umesewa ukweli ila mleta mada unapenda sifa na kuandika haujui.
  5. M

    Vifo vya vijana hawa miaka 80 na early 90 huko ushuani, Oysterbay

    Mada nzuri, ila mleta mada anapenda sifa. Pia mleta mada hajui kuandika.
  6. M

    Selection ya kidato cha tano kuna mengi ya kujifunza

    Mleta mada umeongea point.Wizara acheni kuharibu future ya vijana wetu.
  7. M

    Yanga: Thamani ya Mayele ni bilioni 2.

    Uwezo wako wa kufikiri upo chini.
Back
Top Bottom