Recent content by modinho

  1. M

    Zitto: Malipo ni hapa hapa duniani, Viongozi wastaafu wapo wapi wamuonye rais Magufuli?

    kabis tunazingua kwenye pasipo na haki tulilalamika tunataka kiongozi mwaminifu ata awe dikteta na tumemapata napo twaanza kulalamika jamaani tumuogopeni mngu mwechane magu atunyooshe maana tulikuwa tunapata sawa ila tulikuwa twalisha visivyooshwa
  2. M

    KIKWETE AKUMBUKWA

    nchi ilikuwa yaenda pabaya zen mnasema tunamkumbuka kwa lipi sasa enzi zile mambo yakutisha mkaitaji raisi mwaminifu na sio mwongo mwongo mmempata sasa mwaanza maneno yaani wabongo wapo kama wana wa israeli enzi za mussa mwasumbua
  3. M

    Kanisa la Rumi (Roman Catholic) Lilianzisha Uislam ili kuendelelea kuitawala na kuihadaa Dunia

    Ayo maandiko yako ya kinafki wajizuga wew mwandishi kwanza tambua kila mwislamu anajua dini vzur ya kislamu na piah dini ya kislamu inajieleza tofauti na dini zingine na piah Dini ya kislamu ni Ahadi ya mungu na mtu wake Hii dini ajanzishwa kama unavyoanzisha shule hii ni Ahadi ya mwenye...
Back
Top Bottom