Hivi kwanini kazi ya ubunge isiwe na kipindi cha kujitolea kama kazi zingine?
Mtu akishachaguliwa ajitolee mwaka Mmoja au miwili baada ya hapo akiwa ameonesha uwakilishi mzuri apewe ajira Kwa miaka iliyobaki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.