Recent content by Mockyglady

  1. M

    Nashukuru JF kwa kunipa girlfriend mzuri ambaye siamini nimempata JF

    Yah. Ni weeks tu. Inawezekana. Tena sana.
  2. M

    Nashukuru JF kwa kunipa girlfriend mzuri ambaye siamini nimempata JF

    Nimejiunga aug 2, nimeanza kuchat nae aug 3, tuko zaidi ya serious. Mungu ni mwema. This is true love. Hamna lisilowezekana kwa mungu. Naishukuru sana JFR.
  3. M

    Nashukuru JF kwa kunipa girlfriend mzuri ambaye siamini nimempata JF

    Kweli kabisa. Mwanamke au mwanaume waweza mpata kokote.Inategemea ni wa aina gani umtakae.
  4. M

    Nashukuru JF kwa kunipa girlfriend mzuri ambaye siamini nimempata JF

    Hongera sana. JFR imenisaidia mimi pia. Niko kwenye process za kulipiwa mahali. Ntarudi kwa mrejesho. Ukiwa serious. Inawezekana. Hongera sana tena sana
  5. M

    Nimewekeza kwenye mitiki inalipa, karibu tuwekeze

    Nitext. Mitiki inahitajika sana.
  6. M

    Nimewekeza kwenye mitiki inalipa, karibu tuwekeze

    Ok Ok. Ntakutafuta.asante sana
  7. M

    Nimewekeza kwenye mitiki inalipa, karibu tuwekeze

    Heka moja ki taalam naweza kupanda miche mingapi
  8. M

    Looking for male partner 35yrs and above, HIV+

    Kweli kabisa. Then niko sawa sana. Najitambua
  9. M

    Looking for male partner 35yrs and above, HIV+

    Thank u. I appreciate
  10. M

    Looking for male partner 35yrs and above, HIV+

    Karibu sana. Nimefurahi
  11. M

    Looking for male partner 35yrs and above, HIV+

    Mimi ni mama ninaetafuta mwenza wa kuishi nae. Mimi ni mfanyabiashara na mkulima. Nina elimu ya chuo. Ni mcha Mungu. Natafuta mume mwenye mapenzi ya dhati. Sichagui dini,kabila,elimu etc Aliekuwa serious tuwasiliane
Back
Top Bottom