Nimejiunga aug 2, nimeanza kuchat nae aug 3, tuko zaidi ya serious. Mungu ni mwema. This is true love. Hamna lisilowezekana kwa mungu. Naishukuru sana JFR.
Hongera sana. JFR imenisaidia mimi pia. Niko kwenye process za kulipiwa mahali. Ntarudi kwa mrejesho. Ukiwa serious. Inawezekana. Hongera sana tena sana
Mimi ni mama ninaetafuta mwenza wa kuishi nae.
Mimi ni mfanyabiashara na mkulima. Nina elimu ya chuo. Ni mcha Mungu.
Natafuta mume mwenye mapenzi ya dhati. Sichagui dini,kabila,elimu etc
Aliekuwa serious tuwasiliane
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.