Naomba niulize sua wametoa majina ya walio chaguliwa ila najina langu silion ila still kwenye profile wameandika subili udahili unaendelea apo ndo pananipa shida msaada wakuu tafadhar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapendwa wanaJF, naomba msaada wenu wadhati nimesumbuliwa Kwa muda mrefu sana natatizo la kichwa kupitia mishipa ya macho,imenibidi niahirishe masomo chuo kikuu,,hua inasumbua haswa naposoma au kuangalia movie ,dalili nyingine nawezapata usingizi Wa ghafla alafu ukawa mzito sana nikishituka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.