Ni kweli ila tatizo kubwa lipo toka kwenye mifumo ya elimu yetu, unakuta mwanafunzi akifeli mtihani anaonekana hawezi na hana kitu kabisa .Hii inapelekea hata kwenye maisha ya upambanaji kila unapokumbana na vikwazo unajihisi hufai kabisa na huwezi endelea tena kitu ambacho siyo kweli.TUNAHITAJI...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.