Recent content by MNYAMIHUU

  1. MNYAMIHUU

    RUCO waambiwa wawe wavumilivu bodi ya mikopo haina fedha

    ni kweli udsm wamepata mkopo? kama kuna mdau huko atujulishe!
  2. MNYAMIHUU

    Chuo kipi chenye course zinazotoa ajira kwa urahisi

    UDOM pia kuna kozi ambazo ni marketable!
  3. MNYAMIHUU

    Uhalisia wa GPA na uwezo wa mtu kiakili

    Kimtazamo GPA ni kipimo cha uelewa wa mwanafunzi darasani ila ktk suala la ajira ni vizuri content ya mtu ikaangaliwa kwani hizi GPA sa hv znanunuliwa tu! NAWASILISHA!
  4. MNYAMIHUU

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    ni kweli hata mimi nimewasikia wataalam mbalimbali wa afya wakisema madhara yake ni makubwa sana likiwemo la kupungua nguvu,na kuishiwa nguvu kabsa pia na pre mature ejaculation pamoja na kushindwa kurudia tendo.na matatizo ya kisaikolojia pia hujtokeza.
  5. MNYAMIHUU

    Taaluma ya UDOM manufaa yake ni madogo sana kwa jamii

    ni kweli ila tujue kua mfumo na sheria za hapa chuoni UDOM haziruhusu kabisa masuala ya kisiasa kama tunavyo jua chuo hiki kilijengwa na serikali na kwa sasa ni miongoni mwa vyuo vikuu vinavyo dahiri wanafunzi wengi kuliko vyuo vingine hapa tanzania ila suala la muhimu hapa ni kwamba kuwepo...
  6. MNYAMIHUU

    Lowassa kuua ndege wawili kwa jiwe moja?

    lowassa tunakubali utendaji wako wa kazi, system ndio ilokufanya uonekane fisadi ila usikate tamaa watanzania tunakuitaji karibu sana shule za kata hali ni mbaya sana, ingawaje wengine tumefika vyuo vikuu kwa kupitia hizo shule ila wadogo zetu bado wanafeli sana. Tunajua lilikuwa ni wazo lako...
  7. MNYAMIHUU

    Kiti cha udiwani Njombe Mjini,CHADEMA wamsimamisha Agrey Mtambo

    sawa tunachohitaji ni maendeleo tu na si chama gani au nani atashinda udiwani..
Back
Top Bottom