Recent content by mnyama k

  1. M

    Mpasuko mkubwa mwingine waja UKAWA/ CHADEMA

    Hivi mbona hamtaki kuelewa, ngoja nikuambie kutu. Hata wewe na akiliyako hiyohiyi uliokuwanayo ungegombea urais kupitia Ukawa tungekuchagua tunataka kuondoa system inayo fanya kazi kwa mazoeya that's all. Hata Mboe na Mtei wakihama hatutarudi nyuma. Maamuzi ya mabadiliko yana fanywa na...
  2. M

    Wakisema waendesha bodaboda sawa, ila hata kwa Wasomi? Tumepoteza matumaini

    I' m geology i will vote for Lowasa. Did you get't ???.
  3. M

    Maaskofu wacharuka, wasema mbivu mbichi Septemba 17 kumjibu Dr. Slaa

    Huyu babu kasha waharibia mbaka ccm, ametaka sifa akapitiliza kuropoka bila mpaka sasa kazi kwake na magamba. Nime fanya ukaguzi kidogo kwenye njia ya Lowasa kuelekea magogoni nikaiona nyeupepeeeeeeeeeee..
  4. M

    TCRA mmeshindwa kazi?

    Nakumbuka walimuimbia hiyo akapigwa na mshangao ikabidi aunganenao kupiga makofi. Na hata octoba itakuwa hivyohivyo watalazimika kumpigia makofi baada ya maamuzi ya wengi. Lowasa hazuiliki.
  5. M

    Magufuli ahutubia idadi ya ndogo ya watu Moro.

    Na nyumba zetu atarudisha?
  6. M

    Kingwendu noma, ang'oa CCM Kisarawe

    Ndio ukosawa nikweli kunatatizo ccm. Ndiomana wanakisarawe wameamua kuiondoa ccm kwa njia yoyote ile hata kwa kingwendu ilimradi tu ccm wang'oke. "Tafakari"
  7. M

    Slaa soma hapa huko kote unasumbuka bure!!

    Hahahaha yani hadi mabango yanawatisha, huyo mamvi hazuiliki kwanza akikaakwenye bango tu anaonekana anamvuto kushinda hata kushinda msoga.
  8. M

    Viongozi wa CHADEMA Ukonga wamekamata picha za wagombea wao katika ofisi ya CCM

    Dalili za kushindwa, Ukawa tutulize akilizetu dawayao isha chemka tunasubiri kuwanywesha 25 October, tusiige tabia za kijinga tuta fanana nao. Late us do the right things October.
  9. M

    Mwaka wa mabadiliko, je wewe unafurahia au unasikitika?

    Tunza machoyako yasipofoke hadi October 25 ili ushuhudie kwa macho kama wanavyo vichinjio ama hawana.
  10. M

    Dr. Slaa kuzungumza na Watanzania kupitia Star TV, leo Ijumaa, saa 3 Usiku

    Kwenye ukatoliki hakunaga talaka yeye amewezaje kutoa hiyo talaka kama sio tamaa.
  11. M

    Wafuasi wa CCM wang'oa bango la UKAWA lililofungwa jioni hii Kariakoo

    Hawa magamba wamesha changanyikiwa yani wanaogopa hadi bango???
  12. M

    Wafuasi wa CCM wang'oa bango la UKAWA lililofungwa jioni hii Kariakoo

    Hahaahaaaa bora kinyesi kilichotolewa kwenye hikichoo, manaake choo kinaonekana nikichafu kuliko kinyesi chenyewe.
  13. M

    Special thread: Kampeni za mgombea Urais wa CHADEMA/UKAWA nchi nzima kuelekea 25 Oktoba, 2015

    Watanzania tutamchaguwa lowasa no matter atachafuliwa na magamba kiasigani kwa tuhuma zisizo na udhibitisho. Atakuwa rais wa Tanzania na atashirikiana na Ukawa kuvunja mfumo wa kulindana kuanzia serikalini hadi bungeni kwenye ndiooooooooooo... Huyo slaa kamaunampenda mchukue ukanywe nae chai.
  14. M

    Yaliyojiri UKAWA na Waandishi: Wajibu tuhuma za Dr. Slaa

    Huyu mzee amejitia aibu sana, alisema anaachana na siasa alafu hapohapo anasema eti bado anasilaha kwamaana ya""siri aliyo hifadhi dhidi ya anaye mtuhumu"" nyingine kazihifadhi anasubiri ajibiwe iliaendelee kuzitoa hizo silahazake. Sasa anataka kubishana na wanasiasa akiwa kama nani? Kama raiya...
Back
Top Bottom