Nyumba inapangishwa Tabata shule karibu na mahitaji muhimu ya jamii kama hospital shule ya msingi na secondary kituo cha polisi.
Umbali wa hatua kumi kufika kituo cha Tabata Shule.
Nyumba inajitegeme vyumba viwili na sebule choo na jiko ndani ya fens na parking.
Dalali haitajiki.
Call me...
Kama mimi ni fundi na nimejiajili hivyo. Siwezi kutembea bila beg coz nina mavitu kibao achana kabisa na laptop tolls database kebo na vingingine vingi cd wallet some time ukibeba mgongoni inakua rahisi ila ukibeba mkononi unaweza uka base upandw mmoja
Ok ni hivi cost zetu zinategea wewe mahitaji yako ila tunabei nafuu sana pia tunauwezo wa kudizain bitu kama kanga na vitenge kwa ajiri ya shughuli maalumu.
Email. Jahimmbangwa@gmail.com karibu au ni pm uniambie bizaa zako na mahitaji yako ili tujue sisi tunafanyaje ndio tukupe coast...
Habari wana jf.... Mimi ni kijana mwenzenu mwenye taaruma ya kuprint t-shirt cap na mabango pia tume base kwenye utengenezaji mzuri wa LOGO kwa ajiri ya mavazi textile art&logo tunawakaribisha taasisi mbali mbali kwenye huduma zetu.
Tupo tabata.
0713935738
Karibuni wadau wa ma office...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.