Wana JamiiForums, naomba msaada wa kupata shule ya O Level niweze kumpeleka mdogo wangu akasome hapo. Sifa iwe na walimu wazuri, iwe na ufaulu mzuri wa matokeo ya kidato cha nne. Kama iko nje ya Morogoro basi iwe ya bweni.
Hivi mwaka huu hakuna mwenye div 3 anae ruhusiwa kusomea degree yeyote kwenye afya?
Maana kuna wengi wametemwa na wana cutofpoint znazo takiwa na vyuo husika.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.