Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Marry Tesha na Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Dk. Leonard Masale, wamegoma kuulizwa maswali na waandishi wa Habari baada ya kutoa taarifa ya kuanza kuwaondoa wafanyabiashara mdogo (Machinga) mkoani hapa kuanzia 3 Desemba mwaka huu.
Wakuu hao baada ya kumaliza kutoa...
Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, Eliurd Mwaiteleke, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kuzomewa kwenye msiba wa Nyanya wa mke wa Rais John Maguguli, Janet Magufuli.
Tukio hilo lilitikea Jana, baada ya wakati shukurani kuanza kutolewa kwa watu waliofanikisha zoezi la msiba wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.