Nataka kuingia kuanza ufugaji wa Kuku aina ya kroila ila tayari nina Kuku wa kienyeji kama 15 na kanga 22.Swali
1. Kuna madhara gani ya kuchanganya Kuku wa kroila na wa kienyeji?
2. Kuna mafhara ya kuchanhanya kanga na Kuku?
3. Hatua za kufuata Kama zipo.
Majibu kwa wataalamu.
Mie mwanafunzi wa Master niko kwenye hatua ya kuandika research proposal ila changamoto ninayoipata ni namna ya kupata relevant literature review! Ninahisi labda sina searching skills. Nimetumia Google Scholar, elsever journal n.k lakin hazinipi majibu sahihi. Naomba Masada wa link mbalimbali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.