Biashara hio ni nzuri cha kwanza nenda kwenye kiwanda husika unakubaliana nao bei kua utawauzia gipsum stone kwa tani shiling ngapi
Na wao watakuambia wanahitaji tani ngap na watakulipa hela yako ukifikisha tani ngapi
Baada ya hapo unatafuta gari unakubaliana nao kua utawalipa ela yao mzigo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.