Hivi ulie andika haya ulijitakari kwanza. Wapo watu anadhani kwa tu ni watanzania nchi nyingine haina wajibu wa kulinda watanzania.
Unafahamu kuhusu Tamko la Haki za Binadamu( Human Rights Declarations) na wajibu wa kila mwanachama?
Wewe ndio wale ambao hamjali malezi kwa mtoto wa jirani kwa...
Jeshi la polisi linakimbia wajibu wake wa ulinzi na usalama wa raia na mali zao. Kama sio jeshi la Polisi kutuambia ni wapi alipo Mdude, ni chombo gani kingine ambacho kina wajibu huo?
Ninashangaa viongozi wa jeshi la polisi wanaposema hawahusiki ila hawasemi wanafanya nini kwa sasa. Huenda...
Haikuwa sahihi kutaja cheo chake, maana kazi yake kama TISS sio security ila intelligence, kwenye intelligensia sio vyema watu kujulikana ila ulinzi (security kujulikana sio mbaya.
Wangapi hapa wanakimbia hata kulea watoto na kuamua kuwachia aidha walezi au wake zao au mama zao walee watoto. au hata wagonjwa. Tuwe na shukrani kwa Mungu kwa kazi nzuri inayofanywa na kanisa pamoja na taasisi zote za dini hata kama kuna mapungufu tujitahidi kuyarekebisha kwa busara na sio...
Waterloo, umewahi kutoa msaada wowote kwa Mhitaji? Maana unavyosema wanapata hela nyingi lazima nawe mmoja wa wachangiaji ili uone hizo zinavyoingia. Tumeshuhudia jinsi kanisa na Madhehebu ya dini yanavyojitoa kutoa huduma ambazo kwa hakika serikali ndio ingetakiwa iwe inatoa kwani ndie...
Sielewi kwanini anapenda kumsingizia Mungu sana, ina maana yote anayoyasema hapo kapewa kibali, aacha unafiki. atajutia sana. na ipo siku utajuta maana hutakuwa na nafasi tena.
Ninachokiamini mimi, kuzungukwa na mawaziri wenye Phd katika fani mbalimbali bila uzoefu wa kufanyia kazi fani hizo hakuna ushauri mzuri ambao unaweza ukaupata utokanao na uhalisia. Kinachotokea sasa ni ushauri unaotoka kwa watu ambao wameishi theories maisha yao yote halafu katika uzee wao...
Aachane na soka.
mashtaka yatafuwa.
ila kuna jambo moja linanitatiza sana kuhusu ofisi ya DPP kwamba how do you charge a person with Money Laundering while you have not proved the predicate offences to money laundering?
Asante sana IKINGO. Wengi wa watendaji na wanasiasa wanajaribu kufanya "spining" ya hii habari ya Lissu ila inaharibu na kuwafanya wawe katika wakati mgumu maana kila kitu washavuruga, Hope waliotumwa kufanya hili shambulio hawakuwa na "What if" kwenye vichwa vyao. walienda kama ng'ombe...
Hakika, Masilingi alionyesha kupwaya na ilikuwa ni lazima kupwaya maana hata maswali aliyoulizwa na shaka achilia mbali ya Hama Mwamoyo hakuweza kuyajibu ipasavyo. Na watendaji wengi wataendelea kupata shida kwa kuwa wanajaribu kusema uongo ili kumridhisha bwana Mkubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.