chadema, kweli kimefulia,,,,,kama zitto na dr kitila wamekikacha sasa nani kabaki pole ,slaa au mboye wote hawa hawana jipya kwan @ mmoja ana sifa zisizo someka mbele za watanzania
Kwani chadema ni chama cha kuitawala tanzani? Labda kitatawala wanyama pori ,hata magwanda yao ni ya wanyama pori ,walisha tambua kuwa walisha bolonga kwa watanzania,na ndo wanachangia kuivuruga amani nchini ,na 2015 act-tanzania kitawapiga chini kikishika nafasi ya pili nyuma ya chama kizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.