Recent content by Mndolwa Amina

  1. M

    JamiiForums Tanzania Mtaalamu wa Dawa na Tiba: Ninakaribisha maswali kuhusu Magonjwa, Tiba na Dawa

    Samahan dokta nasumbuliwa na tatizo la kuumwa kifua kikavu kwa muda mrefu nimeenda hospital wanasema ni dalili za pumu pia Nina tatizo la gall bladder msaada plz
  2. M

    JamiiForums Tanzania Je unaweza kuhama combi ulopangiwa na bado ukasoma shule ulopangiwa?

    Combination nzur sana usihame hesabu ukiamua utaweza usikimbie hesabu
  3. M

    JamiiForums Tanzania JKT KWA MUJIBU WA SHERIA 2019.

    Mimi nilienda jkt mwaka Jana na kuna wenzangu hawakuenda lakin wamepata chuo pamoja na mkopo,,lakin ukienda jeshin kuna faida pia kuna changamoto mbalimbali kwa mfano sisi tulipata shida sana wakat wa kuapply vyuo na weng wetu walikosa vyuo kutokana na kuwa jeshin Upande mwengine kuna fursa...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    HOW CULTURE OR SOCIAL ORIENTATION AFFECT CRITICAL THINKING Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom