Recent content by mnazi mrefu

  1. M

    Dr. Magufuli bila kung'oa hii mizizi utapata shida!

    Aje na safu yake mpya kabisa wa zamani wote tupaaa kuleeee.
  2. M

    Magufuli, acha kujitafutia sifa kwa mfumo huu

    Magufuli msema kweli na mtu wa mungu hapendi unafiki. Hivyo lazima aseme ukweli. Anaeona kwamba kaongea vibaya bac na yy limemgusa. Endelea baba na moyo huo huo. Natamani uwe raisi wa tz miaka 50
  3. M

    Vidonge vya kufanya mwanamke ashike mimba

    Samahani mkuu unaweza nipatia no cm ya hiyo sure hurbal clinic pls mana mi ni mgeni sinza.
  4. M

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Tunakuamini baba ni mchapakazi. Hapa kazi tuu.
  5. M

    Mbona Magufuli anaanza kama Kikwete Tena? Hii nayo Nguvu ya Soda...?

    Endelea baba na uzi huohuo. Watanyooka tuu.
  6. M

    Rais Magufuli mpeleke Lowassa Mahakamani kama ni fisadi

    Yalopita si ndwele tugange yajayo.
Back
Top Bottom