Ripoti original mmeichoma moto mkaisoma ya Kabudi ndio maana msomaji akashindwa kuisoma kwa ufasaha.
Mfanano wa ripoti na hotuba ni kiashiria cha kuandaliwa na mtu mmoja ambaye ni kabudi.
Body language ya msomaji inajielekeza kuwa alikuwa kwenye kitisho cha kuuliwa na alikuwa kwenye maeneo...
Kwa maoni yako walistahili kuuliwa badala ya kuwashitaki ili mahakama ziwahukumu kwa haki? Nakuombea ili uzao wako wasikosekane majobless na vibaka na ikimpendeza Mungu akujazie wote. Una roho mbaya kuliko shetani.
Kwani hao siyo binadamu?
Ona unavyokimbilia kutapika povu sehemu isiyohusika! Unayemtaja aliwahi kuhudumu wizara inayohusika na wagonjwa kama wewe? Una baruti ndani ya fuvu siyo bure!
Hilo neno beberu ni kichaka cha kujificha kwa watu wasiofikiri sawasawa. Hakuna beberu kwenye mfumo wowote wa kijamii duniani. Ni dhana potofu inayotumika na watawala dhaifu, wavivu na wasio na vision za namna ya kuongoza nchi zao.
Hivi msajili wa vyama vya siasa anateuliwa na nani vile? Ni...
Mimi mwanaume wewe kibwengo! Safari hii hamchomoki kirahisi hivyo.
Mngekuwa wababe msingekodi majeshi na vikosi vya mauaji kutoka nje ya nchi. Tutaelewana soon!
Wewe ni kibwengo tu kisichojitambua na kinaishi kwa kulamba makombo ya ccm! Una amani gani ilihali hujui mchana huu utakula nini. Eti unataka kuendelea kuishi kwa amani huku mnateka na kuua wenye hoja kinzani.
Unaonaje ukiishi maisha yako bila kujikomba?
Hiyo ipo obvious without doubt kwani yeye ni sehemu ya mfumo uliojichimbia chini na lazima afuate maelekezo ili kulinda mkate wake.
Zingatia kuwa yeye ndiye mshauri mkuu wa masuala ya kisheria kwa jk na jk ndiye mshauri mkuu wa bi msumi.
Tumkumbushe kauli yake ya juzi kwa majaji kuwa mahakamani...
Hii move imepangwa kipumbavu sana. Mawakili na ndugu wa damu wa Lissu walifungiwa milango na magereza kwa maagizo kutoka yatokako kuwa hawaruhusiwi kumwona lakini Kisabo karuhusiwa! Huu ni uongo wa mchana kweupe. Haiingii akilini Kisabo atoke ukonga na afikie moja kwa moja kwa waandishi na...
Jipunguzie ujinga unenepe. Unakuwa mchimvi mithili ya mke mwenza aliyerukwa zamu ya &@#!
Kenani atawalipia mahari muolewe safari hii.
Kwa taarifa yako watanzania wenye akili wameshang'amua mpango wenu uliojaa uovu na eti mnataka kuleta ripoti ya kibumba ya wale timu yenu ya kuwaficha wauaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.