Unalalamika ukiwa wapi? Nje au ndani ya tz? Ni nani afanye wajibu wako na wakati wakifanya ulishawahi kuwaunga mkono kwa kuandamana nao? Timiza wajibu wako kabla hujawalaumu ambao wamejaribu.
Mbona Kama unayumba na hujui unachosimamia? Post yako no. 11 umeandika nini na hii umeandika vitu gani! Acha kuvuta Cha Arusha Kama ulivyoshauriwa na waziri mkuu!
South Sudan, Zambia, Malawi na Burundi itafungwa matairi au ona uwezo wa kupata angani ambao manufacturer hawajatueleza?
Tumshukuru mtengenezaji kwa kuunda meli yenye uwezo wa kupita kokote na kufika popote!
Mimi waliniliza wakati nimelipia king'amuzi Cha dstv. Pesa hazikufika dstv na dstv wakiulizwa wanasema pesa zilirudishwa nmb. Nina miezi miwili sasa hiyo pesa waliyosema itarudi ndani ya saa 24 haijarudi au ni hayo masaa 24 ndiyo hayafiki?
Nawalia timing wote wawili nipate uhakika wa alaiyekula...
Umejitahidi Sana kutengeneza hizo shs.20000/= za mafue a.k.a manyani.
Huyo mbunge wa asante magu keshausoma mchezo na kauona mwisho wake. Ni mbunge wa muhula moja apende ama asipende, safari ya kurejea alikotoka imeiva. La maana ni yeye kupita kuwaaga wanahai na asilawalazimishe Wala kuwafokea...
Unaonekana kuguswa Sana na hili suala la pension kwa wake wa wastaafu na kuona kuwa wanastahili!
Salma alikuwa mwalimu na mmewe alipopata nafasi ya urais yeye alistaafu kazi ya ualimu na kulipwa mafao yake yote na aliendelea kulipwa pension ya kila mwezi.
Naiuliza, ni sahihi yeye kulipwa pension...
Hoja yake itakuwa na mashiko Kama atawaambia kina Museveni, Kagame,CCM, Putin na Jing Pin ambao wanaongoza vyama vyao kwa miaka fahari! Kujipendekeza tu!
Hivi huko Dawasco Kuna wafanyakazi wenye ubinadamu kweli? Haya maji ya tope Kama like la udongo mwekundu wa mfinyanzi mliyoyaachia huku Tegeta mkipewa ninyi myatumie mtaweza?
Au ninyi ni mawakala wa magonjwa yatokanayo na maji so, mmasaka wateja?
Kumbukeni kuwa wananchi wamelipia bili za maji...
Fanya yanayokuhusu Manka!
Siamini Kama nawe unajiita msomi halafu unajipa umuhimu wa kuishauri familia usiyo na nasaba nayo! Haya ni matumizi mabaya ya akili.
Nikuulize, zile sanaa za makonda zimeleta tija gani nchini? Au ndio Yale ya nyani haoni kundule?
Inajulikana ccm mkiona hamkubaliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.