Recent content by Mnasihi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Ziara ya Samia nchini Urusi inakwenda kutukosesha fursa nyingi za maendeleo kutoka nchi za Magharibi

    Hii slogan ilishakufa natural death na haina faida tena kwani wanachama wake ni maskini mno.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Zungu: Kuna Kundi la Utoro Bungeni, Waliokwenda Morocco bila Kibali wachukuliwe hatua

    Huyu naye! Hivi hajui kuwa hakuna mwananchi aliyemtuma mbunge bungeni bali wabunge hao wamejipeleka na wanajiwakilisha wenyewe! Hiki ni kiashiria cha rais wao kulivunja bunge na aitishe uchaguzi huru wenye heshima. Zungu, wakate posho zao na mishahara.
  3. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Tunashangilia kiburi chenu cha kishamba na anguko lenu kwani wananchi watazidi kuwachukia ccm na kuchukua hatua stahiki. Komeni .
  4. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    Unayo? Kumbuka hii hujaitolea jasho, umesaidiwa tu. Wawezaje kusema msaada huu ni mdogo kulinganisha na makusanyo yako ilihali mlikuwa hamchoki kutembeza bakuli kuwaomba wawasaidie? Be rational mtu siyo unajibu hovyo kujifariji. Kubali tu kuwa tumeumia pakubwa.
  5. M

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Bunge la Ulaya (EU) lapinga Msaada wa Euro Milioni 156 (Tsh. Bilioni 440+) kwa Tanzania. Wataja Haki za Binadamu na Uchaguzi wa 2025

    You're sick upstairs! Tafuta tiba kabla hali haijawa critical! Uhuru wa miaka 65 na rasilimali zenu mlishindwa kuzitumia kwa maendeleo na mlikuwa mnasaidiwq hadi kuchimba matundu ya choo! Leo unajiharishia hapa as if hukuwa na hizo rasilimali na uhuru! Uzuri ni kuwa wote ccm na wasio ccm kilio...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

    Na wewe pia.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

    Kanywe mbege sereni
  8. M

    JamiiForums Tanzania Leo nimepakumbuka Moshi Technical Secondary school

    Ninyi watoto wa juzi tu hapo! Mkongwe nilikuwa hapo 1981 - 84 dom la mkwawa 27. Kumbe hajamkuta mwl wa vijana ndugu Mpande? Tulikula sana machungwq na malimao hapo Orchard!
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Cdm na ccm ni vyama vya siasa hivyo watende haki na siyo kuipendelea ccm.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Acha ujinga! Hao kina Mwigulu na chatanda hawapo kwenye chama cha siasa? Au ndio ule usemi wa akinya kuku sawa ila bata kaharisha unatimia? Point of correction, zungumzia nafsi yako kama wewe na siyo sisi kwani wewe siyo unayeamua chama gani kiongoze serikali. Mwambie huyo msajili aache biasness...
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ruto: Mwaka huu tutaanza kujenga kiwanda cha kusafisha mafuta (Oil Refinery)

    Huo mradi bi mkubwa haumbariki hata kidogo ndio maana alimnanga Ruto kwa kututangazia. Yeye anawalinda wajomba zake na kampuni za wanaye za kuagiza, kusambaza na kuuza mafuta. Kuna uwezekano Museveni akabadili njia ya mabomba ya mafuta yapitie Kenya. Tunakomeshwa wallah!
  12. M

    JamiiForums Tanzania Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Huyo waziri wenu mkuu mbona huwaita watu wapumbavu kwenye mikutano yake na hajaonywa? Kuwaita waliokusanyika wapumbavu ni tusi tena baya lenye kudhalilisha kisaikolojia lakini hatumwoni msajili akikemea! Aache kuwa biased, ofisi itazidi kumshinda.
  13. M

    JamiiForums Tanzania CCM yakana Polisi kuingilia Siasa na wao kupewa upendeleo na Polisi

    Mtumieni ile clip ya kampeni za uchaguzi kule Hai kipindi cha Sabaya. A
  14. M

    JamiiForums Tanzania Sheikh Alhad Mussa: Marekani iwakemee maseneta waliosema Tanzania si salama na baadhi ya dini zinakandamizwa

    Aliyeshindwa kumtupia majini machafu Mange anaweza kuishauri nini serikali ya Marekani? Walio karibu naye wamnong'oneze kuwa kesho ni Idd akajiandae kuchinja.
Back
Top Bottom