Uzuri Katambi ni msomi wa sheria na sina uhakika kama ni wakili ila ameamua kujigeuza mahakama kwa kutoa tuzo nje ya mahakama. Hii hapana na haikubaliki kwani vitisho alivyotoa shehe popo za kukata watu vichwa na kumiliki jeshi ni uhaini uliopea na kuzidi viwango vya uhaini.
Vikundi vya kigaidi...
Hiyo barua ni fake kama ile ya Ndugai. Angalieni address zote zinafanana na haiwezekani makamu wa rais amwandikie barua makamu wa rais! Aliyeitengeneza barua yake elimu yake haina shule.
Itoshe kusema kuwa Nchimbi hawezi kumwandikia boss wake barua kisha akaiweka mtandaoni. Mmepigwa na wajinga...
Sasa akifa si kazi yako ainafika tamati na hutakuwa na assignment ya kuua tena!
Sema nini mtoa roho, hii culture unayojitahidi kuijenga itakuja kupita na wewe one day!
Mwennye kazi yake katika ubora wake sasa! Ulishafanya yako so, unasubiri matokeo siyo?
Usijasahau sana kwani mwinda naye huwindwa! Kikombe utakachomnyweshea ndicho utakachonywea.
Hatukatai but hao mashahidi wataweza kucounter attack mitego ya kisheria ya Lissu? Watakuwa tayari kuaibishwa kizimbani?
Kumbukeni mahakama ni ya wazi na hakutakuwepo na chumba maalumu.
Sinema zetu tu hizi. Hakuna lolote kwani wao ni wamoja. Tangu lini na wapi ulisikia makamu wa rais akipelekwa kamati ya maadili ya chama au bunge au Serikali? Shitukeni, mnaibiwa pesa za viongilio vyenu!
Yeye anamwagiza CAG kama nani? Hivi huko ccm wenye busara, hekima na akili walikufa? Mbona anashindwa kujua kuwa ccm na cdm ni vyama vya siasa vilivyo na level sawa! Anakisemeaje chama kisichomhusu?
Serikali yake ilivyozuia ruzuku ya cdm alitarajia wajiendesheje?
Ccm jiandaeni kufukiwa kisiasa.
Ameingilia kazi ya mahakama kwa kutoa adhabu ambayo haiendani na kosa. Nikuulize, kosa la ule mzigo ni lipi hadi autupe mtaroni?
Unatetea polisi ambao hawajui mipaka ya kazi yao kwa kuleta ubishi usio na maana.
Polisi wale wamekosea na yafaa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuharibu mali kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.