Recent content by Mnasihi

  1. M

    Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

    Na ulivyounga mkono kuwa vilivyobaki vitashiriki huioni hiyo contradiction? Uchawa huuwezi Bora uanze kuuza tangawizi ya moto mjini.
  2. M

    Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

    Unalalamika ukiwa wapi? Nje au ndani ya tz? Ni nani afanye wajibu wako na wakati wakifanya ulishawahi kuwaunga mkono kwa kuandamana nao? Timiza wajibu wako kabla hujawalaumu ambao wamejaribu.
  3. M

    Rais Samia asaini miswada ya Sheria za Uchaguzi

    Mbona Kama unayumba na hujui unachosimamia? Post yako no. 11 umeandika nini na hii umeandika vitu gani! Acha kuvuta Cha Arusha Kama ulivyoshauriwa na waziri mkuu!
  4. M

    TBC, mnaajiri mambumbumbu?

    South Sudan, Zambia, Malawi na Burundi itafungwa matairi au ona uwezo wa kupata angani ambao manufacturer hawajatueleza? Tumshukuru mtengenezaji kwa kuunda meli yenye uwezo wa kupita kokote na kufika popote!
  5. M

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Ulitaka wakuabudu wewe kwa lipi? Ona sasa nawe umemwabudu Mbowe hapo. Tofauti yako na wao ni ipi?
  6. M

    Waarabuni wa Dubai waomba zabuni ya kuendesha Mabasi ya Mwendokasi

    Na watumiaji watalipa nauli kwa dola ili hao wawekezaji waweze kuzipata za kuilipa serikali siyo? Chawa wa hovyo wewe!
  7. M

    NMB App mnatufelisha

    Mimi waliniliza wakati nimelipia king'amuzi Cha dstv. Pesa hazikufika dstv na dstv wakiulizwa wanasema pesa zilirudishwa nmb. Nina miezi miwili sasa hiyo pesa waliyosema itarudi ndani ya saa 24 haijarudi au ni hayo masaa 24 ndiyo hayafiki? Nawalia timing wote wawili nipate uhakika wa alaiyekula...
  8. M

    Freeman Mbowe adhalilika, Wananchi wamkimbia uwanjani

    Umejitahidi Sana kutengeneza hizo shs.20000/= za mafue a.k.a manyani. Huyo mbunge wa asante magu keshausoma mchezo na kauona mwisho wake. Ni mbunge wa muhula moja apende ama asipende, safari ya kurejea alikotoka imeiva. La maana ni yeye kupita kuwaaga wanahai na asilawalazimishe Wala kuwafokea...
  9. M

    Chalamila: Hatuwezi kumtaja Mbowe kwa Maendeleo, tutamtaja Rais

    Keshamtaja Mbowe tayari. Apende asipende, lazima wamtaje tu kila wakati ili kubalansi kujipendekeza!
  10. M

    Je, ni walimu pekee ndio watumishi wenye kero ya kuhitaji madaraja mserereko?

    Ulizaliwa ukiwa unajipa kusoma, kuandika, kuhesabu na kupenga makamasi yako? Au ndio maana walikuambukiza ukilaza wao ukawa hivyo ulivyo?
  11. M

    Video aliyorusha Miss World kuhusu hali ya umaskini Tanzania; Mama Salma na wenza wa viongozi wa Tanzania bado wanaona ni sahihi kulipwa mabilioni?

    Unaonekana kuguswa Sana na hili suala la pension kwa wake wa wastaafu na kuona kuwa wanastahili! Salma alikuwa mwalimu na mmewe alipopata nafasi ya urais yeye alistaafu kazi ya ualimu na kulipwa mafao yake yote na aliendelea kulipwa pension ya kila mwezi. Naiuliza, ni sahihi yeye kulipwa pension...
  12. M

    Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

    Hoja yake itakuwa na mashiko Kama atawaambia kina Museveni, Kagame,CCM, Putin na Jing Pin ambao wanaongoza vyama vyao kwa miaka fahari! Kujipendekeza tu!
  13. M

    Maeneo 38 kukosa huduma ya Maji kwa zaidi ya Saa 36 jijini Dar, kutokana na maboresho ya kuondoa tope kwenye Mtambo wa kuzalisha maji

    Hivi huko Dawasco Kuna wafanyakazi wenye ubinadamu kweli? Haya maji ya tope Kama like la udongo mwekundu wa mfinyanzi mliyoyaachia huku Tegeta mkipewa ninyi myatumie mtaweza? Au ninyi ni mawakala wa magonjwa yatokanayo na maji so, mmasaka wateja? Kumbukeni kuwa wananchi wamelipia bili za maji...
  14. M

    Wasomi wa CHADEMA okoeni chama chenu dhidi ya uhuni huu

    Fanya yanayokuhusu Manka! Siamini Kama nawe unajiita msomi halafu unajipa umuhimu wa kuishauri familia usiyo na nasaba nayo! Haya ni matumizi mabaya ya akili. Nikuulize, zile sanaa za makonda zimeleta tija gani nchini? Au ndio Yale ya nyani haoni kundule? Inajulikana ccm mkiona hamkubaliki...
  15. M

    Spika wa Bunge Tulia Ackson ashitakiwa Kwa Wananchi , namba yake ya simu yawekwa hadharani

    Hushangazi kwani ndio zako hizo kuwasukumiza usiowapenda kuzimu! Hivi unapata furaha ya moyo kabisa kuwatendea binadamu hivyo?
Back
Top Bottom