Sinema zetu tu hizi. Hakuna lolote kwani wao ni wamoja. Tangu lini na wapi ulisikia makamu wa rais akipelekwa kamati ya maadili ya chama au bunge au Serikali? Shitukeni, mnaibiwa pesa za viongilio vyenu!
Yeye anamwagiza CAG kama nani? Hivi huko ccm wenye busara, hekima na akili walikufa? Mbona anashindwa kujua kuwa ccm na cdm ni vyama vya siasa vilivyo na level sawa! Anakisemeaje chama kisichomhusu?
Serikali yake ilivyozuia ruzuku ya cdm alitarajia wajiendesheje?
Ccm jiandaeni kufukiwa kisiasa.
Ameingilia kazi ya mahakama kwa kutoa adhabu ambayo haiendani na kosa. Nikuulize, kosa la ule mzigo ni lipi hadi autupe mtaroni?
Unatetea polisi ambao hawajui mipaka ya kazi yao kwa kuleta ubishi usio na maana.
Polisi wale wamekosea na yafaa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuharibu mali kwa...
Kwanza ndugu mbwabwajaji, maandamano siyo culture ya watanzania elewa. Hata hivyo wewe na ccm mnatumia dola kuikanyaga katiba kwa kuzuia maandamano ya amani yaliyoruhusiwa kikatiba!
Pili mmetumia dola kuizuia nmb isiendelee kupokea michango ya wazalendo wa kweli wenye mapenzi yaliyopitiliza kwa...
Hakuna michango iliyogoma bali ccm wameitishia nmb na kuzuia watanganyika wasiweze kuchangia. Huo ni uoga wa mbwakoko ambaye hukalia mkia au kuufyata!
Lisu ni shujaa wa watanganyika na usavimbi upo huko unakolamba makalio! Mtaanguka tu saa yenu ikitimia.
Yaonekana unaandika ukiwa huna reference. Issue ya kuwalipia kina Mbowe na Msigwa faini ya milioni 400 zilichangwa na watu gani kama sio hawa watanganyika wasio na kipato unaowadogosha?
Unastahili kudharaulika kuanzia sasa kwa kujitambulisha kuwa chawa mwandamizi!
Mbona umejishikilia sana hapo kwa wadhamini kuchoka as if unaweza kututajia hao wadhamini?
Watanganyika ndio wadhamini wakuu wa Lisu na hawatabadilika hadi wapate mabadiliko wanayoyataka!
Umma ulio nyuma ya Lissu ndio utaamua hatima yake na siyo vinginevyo.
Kuta za gereza ni laini kuliko biskuti mbele ya umma ulio nyuma yake.
Usisahau kuwa umma huo unamsoma adui kwa kila hatua na adui keshatepeta anaona aibu kumpa ushindi Lissu.
Huko ccm mnafanya hivi walivyofanya hao csm uchwara au umehemkwa tu? Kwanini wasifuate utaratibu wa kupeleka hoja zao kwenye vikao halali na kuacha kuvunja katiba waliyoiandika wenyewe? Tunakusubiri mahakamani na jiandae kuuza mali za ukoo maana utadaiwa fidia kubwa ili mfilisike!
Cdm kazeni...
Natamani amwite rostam amwambie kuwa watanzania hawajapendezwa na uamuzi wake wa kujenga kiwanda cha gesi mombasa ya Kenya! Ule uzalendo anaouhubiri uwe kwa wote na siyo kwa watu wa chini.
Na wabunge waamke kuliona hili kama usaliti wa nchi inayopambana kujijenga kiuchumi. Na ikiwapendeza...
Halafu utakuta vijana waliomaliza vyuo wanashangilia hili la kwenda kuwapa ajira vijana wa Kenya.
Vijana wa bongo endeleeni kukenua meno kama yule waziri wenu wa virungu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.