Recent content by Mnasihi

  1. M

    Jaji Chande: Washiriki wa ghasia walibeba silaha mbalimbali jambo ambalo haliruhusiwi kisheria kwenye maandamano ya amani

    Ripoti original mmeichoma moto mkaisoma ya Kabudi ndio maana msomaji akashindwa kuisoma kwa ufasaha. Mfanano wa ripoti na hotuba ni kiashiria cha kuandaliwa na mtu mmoja ambaye ni kabudi. Body language ya msomaji inajielekeza kuwa alikuwa kwenye kitisho cha kuuliwa na alikuwa kwenye maeneo...
  2. M

    Watanzania Wana shida gani mbona hawalipi kisasi( Retaliation)Kwa walioua ndugu zao?

    Kwa maoni yako walistahili kuuliwa badala ya kuwashitaki ili mahakama ziwahukumu kwa haki? Nakuombea ili uzao wako wasikosekane majobless na vibaka na ikimpendeza Mungu akujazie wote. Una roho mbaya kuliko shetani. Kwani hao siyo binadamu?
  3. M

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Ona unavyokimbilia kutapika povu sehemu isiyohusika! Unayemtaja aliwahi kuhudumu wizara inayohusika na wagonjwa kama wewe? Una baruti ndani ya fuvu siyo bure!
  4. M

    PostGE2025 Tume imetambua vifo 518 wakati wa maandamano ya Mo29. Wamekiri, watatokaje?

    Hayati mheshimiwa aliyekuwa wizara ya wanaoumwa alikuwa na idadi kamili na huenda taarifa alizokuwa nazo ndizo zilizomharakisha kwenda kuzimu.
  5. M

    Tusione haya kukifutia usajili chama chochote cha siasa kitacho bainika kuwa kinahujumu ustawi wa Taifa letu huu utakuwa ushindi dhidi ya mabeberu

    Hilo neno beberu ni kichaka cha kujificha kwa watu wasiofikiri sawasawa. Hakuna beberu kwenye mfumo wowote wa kijamii duniani. Ni dhana potofu inayotumika na watawala dhaifu, wavivu na wasio na vision za namna ya kuongoza nchi zao. Hivi msajili wa vyama vya siasa anateuliwa na nani vile? Ni...
  6. M

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Mimi mwanaume wewe kibwengo! Safari hii hamchomoki kirahisi hivyo. Mngekuwa wababe msingekodi majeshi na vikosi vya mauaji kutoka nje ya nchi. Tutaelewana soon!
  7. M

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Kwani hiyo barabara ni ya babako? Unajiumua kama andazi huku ukiwa huna lolote. Kesho tutakuwepo road, au hujapewa taarifa?
  8. M

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Wewe ni kibwengo tu kisichojitambua na kinaishi kwa kulamba makombo ya ccm! Una amani gani ilihali hujui mchana huu utakula nini. Eti unataka kuendelea kuishi kwa amani huku mnateka na kuua wenye hoja kinzani. Unaonaje ukiishi maisha yako bila kujikomba?
  9. M

    Makonda: Tumeahirisha ule mkopo wa Tsh Bilioni 20 kwa content creators

    Hiyo hela ameshaichepusha kajiwekea kwenye account yake ya fixed deposit avune za wajinga.
  10. M

    PostGE2025 Tume ya Uchunguzi ya Matukio ya Oktoba 29 kuwasilisha ripoti Aprili 23, 2026

    Jitambue kwanza ndio uandike yanayoeleweka! Umeandika ujinga.
  11. M

    Je, kuna mamlaka imempigia simu Masaju kuwa simamisha hiyo kesi ya Lissu mpaka further notice?

    Hiyo ipo obvious without doubt kwani yeye ni sehemu ya mfumo uliojichimbia chini na lazima afuate maelekezo ili kulinda mkate wake. Zingatia kuwa yeye ndiye mshauri mkuu wa masuala ya kisheria kwa jk na jk ndiye mshauri mkuu wa bi msumi. Tumkumbushe kauli yake ya juzi kwa majaji kuwa mahakamani...
  12. M

    Ajali ya Meli: Watu wanne wahofiwa kuzama, watu kumi waokolewa

    Cement imeokolewa mifuko mingapi?
  13. M

    Lema: Nina wasiwasi na Wakili Kisabo juu ya maneno aliyosema yamesemwa na Lissu. Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe

    Hii move imepangwa kipumbavu sana. Mawakili na ndugu wa damu wa Lissu walifungiwa milango na magereza kwa maagizo kutoka yatokako kuwa hawaruhusiwi kumwona lakini Kisabo karuhusiwa! Huu ni uongo wa mchana kweupe. Haiingii akilini Kisabo atoke ukonga na afikie moja kwa moja kwa waandishi na...
  14. M

    Lema: Nina wasiwasi na Wakili Kisabo juu ya maneno aliyosema yamesemwa na Lissu. Watanzania tusubiri kauli ya Lissu mwenyewe

    Jipunguzie ujinga unenepe. Unakuwa mchimvi mithili ya mke mwenza aliyerukwa zamu ya &@#! Kenani atawalipia mahari muolewe safari hii. Kwa taarifa yako watanzania wenye akili wameshang'amua mpango wenu uliojaa uovu na eti mnataka kuleta ripoti ya kibumba ya wale timu yenu ya kuwaficha wauaji wa...
Back
Top Bottom