Recent content by Mnasihi

  1. M

    Wote wanaolalamikia serikali kuhusu Oktoba 29 hao wakamatwe. Ndio waliowatuma vijana kufanya uasi na uharibifu wa mali za umma

    Najua kuwa fungu la kuwalipa machawa limekata na bado hamjasema! Za ndani zinabainisha kuwa fungu lenu limepita na Kihongosi naye kaamua akajenge kasri lake pale dodoma na nyie mmebaki kupiga miayo tu kama kuku mwenye kiu. Fanya hivi, hamia kisimkazi angalau awe anakuona getini kwake akutupie...
  2. M

    Profesa Tibaijuka aitabiria ushindi CHADEMA

    Utakufa kinywa wazi mjinga wewe!
  3. M

    Profesa Tibaijuka aitabiria ushindi CHADEMA

    Utajinyea wewe!
  4. M

    Tibaijuka, umekosa haya? Mahakama ni chombo huru na muhimu, omba kadi ya CHADEMA lakini sio kuhamasisha vurugu

    Nasemaje, kama unaishi kwa kuwachafua wanaosema ukweli kwa kujua kwamba hiyo serikali yako itamsumbua na hata kumtoa uhai basi malipo hayo yaharakishe umauti wako kwani huna faida duniani na hata ahera. Msiambiwe mkikosea? Jitafakari sana kwa kumbagaza huyu profesa nguli, mzalendo na mpendq...
  5. M

    Pole Mr. Lissu, Mungu yupo nawe

    Ikekera kwa lugha yetu ni kinyesi kilichonyeshewa naamini hata kwenu neno hili linamaanisha hivyo! Siku nyingine usikubali kuwa kinyesi kilichonyeshewa. Umeandika ujinga.
  6. M

    Umoja wa Mataifa waeleza matumaini yake kwa Tume ya Jaji Chande

    Leta chanzo cha taarifa yako tusome wenyewe.
  7. M

    Jaji Mstaafu Chocha alionya miaka 9 iliyopita kusema: "Tundu Lissu si mtu wa kawaida". Leo Taifa linashuhudia kutimia kwa onyo hili

    Wewe unaishi nchi gani? Kama unaishi hapa ulipopaita kwa mafala badi nawe fala wa kutupa! Una hoja za kipumbavu mno kwenye nyuzi za watu humu kwa kujiona unajua sana kumbe bwege tu na chawa mjinga! Kuwa na adabu kwenye hoja zenye akili vinginevyo pass!
  8. M

    PostGE2025 Uingereza yataka uchunguzi huru Matukio ya vifo Oktoba 29 nchini Tanzania

    Nilikuwa nakusoma sana humu kumbe nilijipotezea mudq tu. Kwani Israeli, China na urusi zilizotajwa kwenye hotuba yao siyo nchi huru? Au ni uhuru upi unaoringia huku ukiwa mwanachama wa kamati na umoja wa mataifa? Hebu tafutq muda uyasome masharti ya kuwa mwanachama wa UN na idara zake kisha...
  9. M

    Tundu Lissu: Mahakama ikikubali kupokea Notisi inayoongelea mauaji ya 29/10, itabidi watuambie nani aliruhusu Watanzania kuuawa

    Dr.vipi tena na kiswahili kibovu? Asiuadae siyo sahihi bali asiuhadae. Au dr. la memkwa wewe?
  10. M

    Vurugu za 29.10.2025, hakuna Msiba ulisafirishwa kwenda Zanzibar

    Wiki moja kabla ya uchaguzi ule wazanzibar walitangaziwa misikitini na majumbani kuwa waondoke bara waelekee zanzibar na usafiri ulikuwa bure hadi ijumaa jioni kabla ya 29oct. Sijasimuliwa bali nilishuhudia kwa macho kwani shule zilizopo mwambao wa bahari ya hindi waliombewa ruhusa ya wiki...
  11. M

    PostGE2025 Wasira anadai mauaji yalikuwa sahihi wakati ni kinyume cha sheria na waliuawa hadi watoto na wajawazito

    TLS wapowapo tu! Hizo kauli za viongozi wa ccm wanazisikia na wapo na uwezo wa kuwapeleka mahakamani ili wakaropoke huko japo mahakama za nchi hii ni za kupewa maelekezo kwa simu but wawapeleke hivyohivyo ili kuwafunza Kebehi zitapungua wakisaidia kuwashtaki.
  12. M

    PostGE2025 Wakili Mkude: Kesi inajadiliwa kwenye mitandao ya kijamii, mashahidi wanaitwa waongo. Hatukatazi kesi ijadiliwe lakini isiathiri mwenendo wa kesi

    Hivi, kwanini dpp ameamua kuwa kituko? Yaani amegeuka kuwa mchekeshaji mahakamani kwa kuwaokoteza mashahidi wapumbavu wasiojua lolote juu ya kesi ya Lissu. Anaona shida gani kuiondoa kesi hiyo mahakamani ili kuiepushia ofisi yake, serikali, mahakama na majaji aibu na dharau kutoka kwa wananchi...
  13. M

    Same: Mbunge wa Moshi Mjini, Ibrahim Shayo(CCM) anusurika kifo baada ya gari lake kupata ajali katika msafara wa Waziri Mkuu

    Pole gari kwa kubondeka vibaya nakuombea mafundi gereji wakurekebishe ili urudi kwenye hali yako ya awali uliyotoka nayo Japan.
  14. M

    Shahidi wa Kesi ya Lissu (P7): Nauli ya kuja mahakamani leo nimepewa na mwanamke wangu. Ndiye ananiweka mjini

    Waislamu wamekataa kutumika kijinga wanazingatia mwezi mtukufu dhambi wamemwachia Katuga asiye na imani! Hongereni waislamu kwa kuikimbia dhambi ya kushuhudia uongo kwa malipo kiduchu
  15. M

    Akili na ushahidi wa mashahidi ndio Taswira Yetu

    Hivi CJ ameamua kabisa kwa akili zake timamu kuwadhalilisha majaji wanaosikiliza kesi ya Lissu? Wamemkosea nini jaji mkuu au serikali hadi wabagazwe na kina Katuga? Niwasihi majaji wale wajitoe tu kwenye kesi hiyo ili kulinda heshima yao. CJ, waelekeze majaji wako waipige chini hiyo kesi ya...
Back
Top Bottom