Najua kuwa fungu la kuwalipa machawa limekata na bado hamjasema! Za ndani zinabainisha kuwa fungu lenu limepita na Kihongosi naye kaamua akajenge kasri lake pale dodoma na nyie mmebaki kupiga miayo tu kama kuku mwenye kiu.
Fanya hivi, hamia kisimkazi angalau awe anakuona getini kwake akutupie...
Nasemaje, kama unaishi kwa kuwachafua wanaosema ukweli kwa kujua kwamba hiyo serikali yako itamsumbua na hata kumtoa uhai basi malipo hayo yaharakishe umauti wako kwani huna faida duniani na hata ahera. Msiambiwe mkikosea? Jitafakari sana kwa kumbagaza huyu profesa nguli, mzalendo na mpendq...
Ikekera kwa lugha yetu ni kinyesi kilichonyeshewa naamini hata kwenu neno hili linamaanisha hivyo!
Siku nyingine usikubali kuwa kinyesi kilichonyeshewa. Umeandika ujinga.
Wewe unaishi nchi gani? Kama unaishi hapa ulipopaita kwa mafala badi nawe fala wa kutupa! Una hoja za kipumbavu mno kwenye nyuzi za watu humu kwa kujiona unajua sana kumbe bwege tu na chawa mjinga!
Kuwa na adabu kwenye hoja zenye akili vinginevyo pass!
Nilikuwa nakusoma sana humu kumbe nilijipotezea mudq tu. Kwani Israeli, China na urusi zilizotajwa kwenye hotuba yao siyo nchi huru? Au ni uhuru upi unaoringia huku ukiwa mwanachama wa kamati na umoja wa mataifa?
Hebu tafutq muda uyasome masharti ya kuwa mwanachama wa UN na idara zake kisha...
Wiki moja kabla ya uchaguzi ule wazanzibar walitangaziwa misikitini na majumbani kuwa waondoke bara waelekee zanzibar na usafiri ulikuwa bure hadi ijumaa jioni kabla ya 29oct.
Sijasimuliwa bali nilishuhudia kwa macho kwani shule zilizopo mwambao wa bahari ya hindi waliombewa ruhusa ya wiki...
TLS wapowapo tu! Hizo kauli za viongozi wa ccm wanazisikia na wapo na uwezo wa kuwapeleka mahakamani ili wakaropoke huko japo mahakama za nchi hii ni za kupewa maelekezo kwa simu but wawapeleke hivyohivyo ili kuwafunza
Kebehi zitapungua wakisaidia kuwashtaki.
Hivi, kwanini dpp ameamua kuwa kituko? Yaani amegeuka kuwa mchekeshaji mahakamani kwa kuwaokoteza mashahidi wapumbavu wasiojua lolote juu ya kesi ya Lissu.
Anaona shida gani kuiondoa kesi hiyo mahakamani ili kuiepushia ofisi yake, serikali, mahakama na majaji aibu na dharau kutoka kwa wananchi...
Waislamu wamekataa kutumika kijinga wanazingatia mwezi mtukufu dhambi wamemwachia Katuga asiye na imani! Hongereni waislamu kwa kuikimbia dhambi ya kushuhudia uongo kwa malipo kiduchu
Hivi CJ ameamua kabisa kwa akili zake timamu kuwadhalilisha majaji wanaosikiliza kesi ya Lissu? Wamemkosea nini jaji mkuu au serikali hadi wabagazwe na kina Katuga?
Niwasihi majaji wale wajitoe tu kwenye kesi hiyo ili kulinda heshima yao.
CJ, waelekeze majaji wako waipige chini hiyo kesi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.