Recent content by Mnasihi

  1. M

    JamiiForums Tanzania Waziri Katambi: Mwaipopo ameeleza alikuwa na Nia njema ila alitumia njia isiyo sahihi

    Uzuri Katambi ni msomi wa sheria na sina uhakika kama ni wakili ila ameamua kujigeuza mahakama kwa kutoa tuzo nje ya mahakama. Hii hapana na haikubaliki kwani vitisho alivyotoa shehe popo za kukata watu vichwa na kumiliki jeshi ni uhaini uliopea na kuzidi viwango vya uhaini. Vikundi vya kigaidi...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hongera Rais Samia, nchi imetulia tuli vizuri sana

    Umetumwa kupima upepo siyo? Acha kuwaza kikatugakatuga dogo. Hutaambulia jibu la ama wametulia au wameinamisha vichwa wakitunga mbinu mpya.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mkutano na Waandishi wa Habari kuhusu mpango wa dharura kukabiliana na El Nino nchini

    Wanawaandaa wanchi ili waipige hiyo 700b kiulaini!
  4. M

    JamiiForums Tanzania Samia akubali "kuna uhaba wa fedha" sababu kubwa ni ubinafsi wake

    But huko kwke mbona hawpigi kelele?akakope kwa mdogo wake mwinyi.
  5. M

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Hakuna anayependa Jeshi lake lichafuke. Nimewalinda ndio maana nimewabadilisha

    Lazima awalinde kwani walimsaidia kuua watanganyika 29 October.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya masaa 48 Dr. Nchimbi Kung'atuka umakamu wa Rais kwa kujiuzulu

    Hiyo barua ni fake kama ile ya Ndugai. Angalieni address zote zinafanana na haiwezekani makamu wa rais amwandikie barua makamu wa rais! Aliyeitengeneza barua yake elimu yake haina shule. Itoshe kusema kuwa Nchimbi hawezi kumwandikia boss wake barua kisha akaiweka mtandaoni. Mmepigwa na wajinga...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Kiburi na Kaburi

    Sasa akifa si kazi yako ainafika tamati na hutakuwa na assignment ya kuua tena! Sema nini mtoa roho, hii culture unayojitahidi kuijenga itakuja kupita na wewe one day!
  8. M

    JamiiForums Tanzania As it Stands Tundu Lissu aombe MSAMAHA na MSAADA kwa Rais Dkt Samia Suluhu Hassan

    Akikaa huko utaathikarikejed ndugu chawa? Punguza kujipa umuhimu kwenye haki ya mtu.
  9. M

    JamiiForums Tanzania Sioni dalili ya Lissu na CHADEMA kunyoosha mikono, Serikali iangalie njia nyingine

    Mwennye kazi yake katika ubora wake sasa! Ulishafanya yako so, unasubiri matokeo siyo? Usijasahau sana kwani mwinda naye huwindwa! Kikombe utakachomnyweshea ndicho utakachonywea.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sub za Tundu Lissu zinawatisha wapinzani wanataka wamalize game iishe sare

    Hatukatai but hao mashahidi wataweza kucounter attack mitego ya kisheria ya Lissu? Watakuwa tayari kuaibishwa kizimbani? Kumbukeni mahakama ni ya wazi na hakutakuwepo na chumba maalumu.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Baada ya Lissu kuachiwa Huru Ijumaa tuelekezwe njia za kupita zitakazohimili Maandamano Makubwa

    Hatoachiwa ijumaa bali wataiahirisha kusoma hukumu kwa kisingizio cha jaji mmojawapo kuwa na dharura.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Watanzania tumuombee Nchimbi: sasa naelewa mtifuano ndani ya CCM ni ukombozi kwa Taifa

    Sinema zetu tu hizi. Hakuna lolote kwani wao ni wamoja. Tangu lini na wapi ulisikia makamu wa rais akipelekwa kamati ya maadili ya chama au bunge au Serikali? Shitukeni, mnaibiwa pesa za viongilio vyenu!
  13. M

    JamiiForums Tanzania Katibu wa Idara ya Fedha na Uchumi CCM amtaka CAG kufanya ukaguzi wa fedha za Tone tone za Chadema

    Yeye anamwagiza CAG kama nani? Hivi huko ccm wenye busara, hekima na akili walikufa? Mbona anashindwa kujua kuwa ccm na cdm ni vyama vya siasa vilivyo na level sawa! Anakisemeaje chama kisichomhusu? Serikali yake ilivyozuia ruzuku ya cdm alitarajia wajiendesheje? Ccm jiandaeni kufukiwa kisiasa.
  14. M

    JamiiForums Tanzania John Heche: Nchi hii wananachi wanachukuliwa kama watumwa na watawala kama watwana au wamiliki wa watumwa

    Ameingilia kazi ya mahakama kwa kutoa adhabu ambayo haiendani na kosa. Nikuulize, kosa la ule mzigo ni lipi hadi autupe mtaroni? Unatetea polisi ambao hawajui mipaka ya kazi yao kwa kuleta ubishi usio na maana. Polisi wale wamekosea na yafaa kuchukuliwa hatua za kisheria kwa kuharibu mali kwa...
Back
Top Bottom