Huyu naye! Hivi hajui kuwa hakuna mwananchi aliyemtuma mbunge bungeni bali wabunge hao wamejipeleka na wanajiwakilisha wenyewe!
Hiki ni kiashiria cha rais wao kulivunja bunge na aitishe uchaguzi huru wenye heshima.
Zungu, wakate posho zao na mishahara.
Unayo? Kumbuka hii hujaitolea jasho, umesaidiwa tu. Wawezaje kusema msaada huu ni mdogo kulinganisha na makusanyo yako ilihali mlikuwa hamchoki kutembeza bakuli kuwaomba wawasaidie? Be rational mtu siyo unajibu hovyo kujifariji. Kubali tu kuwa tumeumia pakubwa.
You're sick upstairs! Tafuta tiba kabla hali haijawa critical!
Uhuru wa miaka 65 na rasilimali zenu mlishindwa kuzitumia kwa maendeleo na mlikuwa mnasaidiwq hadi kuchimba matundu ya choo! Leo unajiharishia hapa as if hukuwa na hizo rasilimali na uhuru!
Uzuri ni kuwa wote ccm na wasio ccm kilio...
Ninyi watoto wa juzi tu hapo! Mkongwe nilikuwa hapo 1981 - 84 dom la mkwawa 27.
Kumbe hajamkuta mwl wa vijana ndugu Mpande?
Tulikula sana machungwq na malimao hapo Orchard!
Acha ujinga! Hao kina Mwigulu na chatanda hawapo kwenye chama cha siasa? Au ndio ule usemi wa akinya kuku sawa ila bata kaharisha unatimia?
Point of correction, zungumzia nafsi yako kama wewe na siyo sisi kwani wewe siyo unayeamua chama gani kiongoze serikali.
Mwambie huyo msajili aache biasness...
Huo mradi bi mkubwa haumbariki hata kidogo ndio maana alimnanga Ruto kwa kututangazia. Yeye anawalinda wajomba zake na kampuni za wanaye za kuagiza, kusambaza na kuuza mafuta.
Kuna uwezekano Museveni akabadili njia ya mabomba ya mafuta yapitie Kenya. Tunakomeshwa wallah!
Huyo waziri wenu mkuu mbona huwaita watu wapumbavu kwenye mikutano yake na hajaonywa?
Kuwaita waliokusanyika wapumbavu ni tusi tena baya lenye kudhalilisha kisaikolojia lakini hatumwoni msajili akikemea! Aache kuwa biased, ofisi itazidi kumshinda.
Aliyeshindwa kumtupia majini machafu Mange anaweza kuishauri nini serikali ya Marekani? Walio karibu naye wamnong'oneze kuwa kesho ni Idd akajiandae kuchinja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.