TANGAZO
“Jukwaa la Mwangaza kwa Vijana” (Youth Enlightment Forum-YEF) linawakaribisha vijana wote wanaopenda kujiunga na harakati ya kudai Katiba Mpya. Jukwaa litaandaa ziara kwenda mikoa mbalimbali ya Tanzania, Bara na Visiwani, kuelimisha umma juu ya umuhimu wa Katiba Mpya. Washiriki ni lazima...
Waandishi wamulike tena wavizie orientation washuhudie mpango huo haiwezekani mtihani mmoja ulipie 15000 ni ghali kwa maana hiyo open ndio kitakuwa chuo ghali na kitaondoka kwenye lengo lake la kusaidia wanyonge
MH. PINDA MKUU WA CHUO KIKUU CHA OPEN UNIVERSITY NA RAIS MAGUFULI MULIKENI UPIGAJI DILI WA UNAOFANYWA NA BISANDA AKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA WANACHUO.
Chuo cha Open ndio kilikuwa chuo kimbilio la Watanzania maskini waliokosa fursa kupata elimu ya juu, maana chuo hiki kilikuwa kikiwasaidia...
MH. PINDA MKUU WA CHUO KIKUU CHA OPEN UNIVERSITY NA RAIS MAGUFULI MULIKENI UPIGAJI DILI WA UNAOFANYWA NA BISANDA AKISHIRIKIANA NA SERIKALI YA WANACHUO.
Chuo cha Open ndio kilikuwa chuo kimbilio la Watanzania maskini waliokosa fursa kupata elimu ya juu, maana chuo hiki kilikuwa kikiwasaidia...
Hili suala jana nimetembelea Katonga nimeona hamasa namna ya wavuvi walivojiwekea vikundi vyao na kujiunga na hifadhi ya jamii ili wapate sola na kuweza kuvua kisasa, nawapongeza sana mtakuwa mmewapunguzi wavuvi gharama za mafuta yalikuwa yanawaumiza sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.