Tanzania Tanzania, Nchi Nzuri sana, yenye mabonde mengi, mito, nafaka, wanyama, madini na utajiri kima kisichopimika. Tanzania nchi nzuri, Ulimpa Nini Mungu kukuneemesha hivyo?
Tanzania Tanzania, watu wako husifika, duniani ni wapole, wanapendana wana umoja, Kiswahili ni alama, wengi...