Sawa mkuu..ila uhalisia ndio huo hata ukiukataa
Hata ukipewa maelezo yote hayo unayoyataka ni kujustify tu COMPATIBILITY yako na huyo mwenzi wako
Utofauti wangu ni kutokuzunguka sana mbuyu
Kipindi ulivyokua mdogo chumbani kwa mzee wako kulikua na radio ya spika mbili ya Panasonic.Wewe ulijua mzee wako huwa anaskilizia taarifa ya habari
Ila baada ya kukua najua sasa unaelewa umuhimu wa ile radio bwasheee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.