wewe hujamwelewa kakobe soma huo ujumbe vizuri, hii ilifanyika mwaka 2014. na mungu akasema nae, na akampa ujumbe naye akaufikisha, wakashindwa kuufanyia kazi sasa yanawapata.
wewe hujamwelewa kakobe soma huo ujumbe vizuri, hii ilifanyika mwaka 2014. na mungu akasema nae, na akampa ujumbe naye akaufikisha, wakashindwa kuufanyia kazi sasa yanawapata.
huku kwetu hakukuwa na umeme tanesco wananiudhi kweli. Hiki sio kipindi ambacho umeme ungepaswa kukosekana kabisa,
ni kipindi muhimu cha wananchi kuwasikiliza wagombea na kuamu kwa vizuri nani wampe kura,
lkn serikali yetu kila kitu kisuri wako kinyume nacho
huku Arusha hakuna umeme kuanzia saa nane mchana wameshindwa kukua tuna sm zenye redio. katika pitapita zangu mjini na kisimu changu cha redio nimeona watu walivyokuwa wamebeba nao visimu vyao na wanafuatilia bunge,
wewe unawaza tu ukabila ninyi ni wale watu Mwl Nyerere aliwapiga vita mloishiwa hoja na kufilisika kifikra ndo maana Maneno ya Mungu yanasema, Mtu hunena yale yaujazayo moyo wake na ukikaa kimya kuna hekima kuliko kuongea ovyo!!
badilika nchi hii bado inakuhitaji lete hoja yenye mashiko acha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.