Recent content by mmekuwakwa

  1. M

    Msaada hapa kuhusu Laptop aina ya Nvidia

    Mkuu Mkwawa nakushukuru sana nimewapigia HP wamesema niirudishe tu wata ship iyo umenipa details yake ndani ya 4 working days to my address. jama wanajua biashara hasa na nimead only 159usd weka na usafiri mpk home aisee safi sana UBARIKIWE SANA MKWAWA Nitakupa mrejesho. Nime attach Picha ya...
  2. M

    Msaada hapa kuhusu Laptop aina ya Nvidia

    Mkuu Chief Mkwawa Nimekupata sana HII PC ni 27 inch All in one computer Desktop na sio laptop mimi nilimnunulia baada ya kufika pale HP nakuona ni model nzuri kimuonekano na ina speed sana. nilitaka kujua vitu technical ila umenisaidia sana naweza kwenda dukani na nikaibadili tu hawana shida...
  3. M

    Msaada hapa kuhusu Laptop aina ya Nvidia

    Mkuu CHIEF MKWAWA aisee nimekuwa nikifuatilia mijadala yako KIMYA KIMYA sana kwanza naomba sana sana nikupongeza, kwa ushauri wako unaoutoa hapa wengi tunapata kama somo na kuweza kuelewa mengi juu ya hii technology kwa mapana yake. Mimi huwa sio muandikaji kabisa humu JF ila leo nimeguswa...
Back
Top Bottom