Recent content by mmekutravella

  1. mmekutravella

    Tunachimba visima vya maji popote Tanzania

    Majan kama bado hii shida ipo tuwasiliane kaka...nafikiri tunaweza fantastic hii sema kuna maswali mailing matatu nikuulize...0767350415
  2. mmekutravella

    King'amuzi gani bora?

    Kaka hivyo vingamuzi vinapatikana wapi hasa tulio huku mwanza?
  3. mmekutravella

    Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

    MEING'ATI bro mi nina dishi la nyavu la kitambo sana je name naweza tummy decoder gani kupata hayo machaneli mengi bila kutumia decoder za kulipia?
  4. mmekutravella

    Android games na Appplications za kulipia (free)

    Bro vipi mzigo uligoma nini??
  5. mmekutravella

    Android games na Appplications za kulipia (free)

    Niunge kwenye hio channel kaka
  6. mmekutravella

    Android games na Appplications za kulipia (free)

    Daaah bro still tunapata same meseji kwamba tuingie badoo ya playstore ambayo haina changes yoyote
  7. mmekutravella

    Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

    Bro nipe link ya GCam kwa infinix note 8i bro... ingawaje hawa jamaa wanajitahidi sana kwa camera
  8. mmekutravella

    Mnada wa NOKIA 2

    50k Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mmekutravella

    Mnada wa NOKIA 2

    Hujatoa specs za Simu Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  10. mmekutravella

    Wanahitajika wahudumu wa pub Namanyere

    Inaitwa Pantaleo!! Sio lodge its just a a bar!! Ila tunatoa accommodation kwa Wahudumu wetu!! Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mmekutravella

    Wanahitajika wahudumu wa pub Namanyere

    Freedom of expression is allowed bro!! Sent from my TECNO-Y3 using JamiiForums mobile app
  12. mmekutravella

    Wanahitajika wahudumu wa pub Namanyere

    We unajua kibosho tu bro???maana wa huku ukisema kirima sijui manushi watashangaa pia...nkida mnama Sent using Jamii Forums mobile app
  13. mmekutravella

    Wanahitajika wahudumu wa pub Namanyere

    Tunatafuta wahudumu kwaajili ya Pub yetu iliyopo wilaya ya Nkasi mjini Namanyere wanaotakiwa ni wasichana wasiozidi umri wa miaka 30 tunatoa huduma ya chakula na malazi kwa Wahudumu wetu! Kwa maswali pia maelezo zaidi unaweza piga no 0767350415 Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom