Recent content by Mme_Wangu

  1. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kweli kuwa Kuna pesa za kishirikina?

    Pesa za kichawi/mazingaombwe/kishirikina zipo sema mpaka kuwapata wataaram wa hizo KAZI ni ngumu sana utaishia kuibiwa tu Na maranyingi pesa za hivyo hazinaga mwisho mzuri au ukifa wewe na zenyewe zinaanza kuyeyuka na uliowaacha wataishi maisha magumu sio kawaida hela za kishirikiza mara nyingi...
  2. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Nipe ushuhuda ndugu yangu
  3. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Mpaka mm mwenyewe nawaza nimcheki jamaa au niache tu
  4. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Duh nilieanzisha Uzi bado cjakucheki mkuu hao matapeli
  5. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Asante sana Kwa ushauri wako
  6. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Nitashukuru sana mkuu
  7. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Sawasawa ntajaribu pia
  8. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Asante sana mkuu kesho ntaamkia hapo
  9. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Naombeni kazi. Napitia wakati mgumu sana

    Umri Wangu miaka 27 elimu yangu degree najiskia vibaya aibu sana ninapovitaja hivi vitu viwili. Sio kama mm ni mvivu wa kufikiria hapana nimekua nikijaribu kufanya kila niwezalo kuweka maisha yangu kwenye mstari na Kuna kipindi nilikua vzr tu lakn Kwa siku za hivi karibuni nimeyumba sana...
  10. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Habari I'm a new member!

    Natumain umzima wa afya mimi ni mgeni humu natumaini nipata ushirikiano na nitajifunza mambo mengi Kwa sasa nipo Dar es Salaam. Hari ya hewa ya Leo ni mvua na kibaridi Kwa mbaaari. Asante
  11. Mme_Wangu

    JamiiForums Tanzania Jana nimeshinda bila kula, leo sina uhakika naombeni kazi/kibarua nitakufa

    Umri Wangu miaka 27 elimu yangu degree najiskia vibaya/aibu sana ninapovitaja hivi vitu viwili. sio kama mm ni mvivu wa kufikiria hapana nimekua nikijaribu kufanya kila niwezalo kuweka maisha yangu kwenye mstari na Kuna kipindi nilikua vzr tu lakn Kwa siku za hivi karibuni nimeyumba sana...
Back
Top Bottom