Recent content by mmazoya

  1. M

    UKAWA imepotelea wapi? Siku hizi ni nadra sana kusikia neno UKAWA

    Kirefu chake ni umoja wa katiba ya wananchi, nadharia hii ilikuwepo hata kabla ya hivyo vyama, nadharia hii IPO hata ndani ya CCM hasa kwa wapenda mabadiliko, kumbuka G55, ni wanaccm walioamini maendeleo yatatokana na mabadiliko ya katiba.
  2. M

    Huu ni muda muafaka Rais Magufuli kuijua sura halisi ya Prof. Muhongo

    nawaza tu kivyangu, baada ya ccm kupoteza viti vingi vya uwakilishi, ruzuku imepungu, kwa hiyo hayo mamilioni yanafidia.
  3. M

    Uswahiba wa kisiasa kwanini huwa unaishia kwenye jino kwa jino?

    kwa tz ni ili ccm na mfumo iendelee kuwa madarakani, kinachoonekana ccm hufararakinisha, lowasa anajuwa tatizo sio kikwete ila jk alizidiwa nguvu na mfumo usiomtaka m-kkkt aingie ikulu.
  4. M

    Tanzania isiyopiga hatua za maendeleo inawezekana.

    upumbavu ni pamoja na kuzungumza neno kama unalijua vile, tena kwa kujiamini kuwa upo sahihi, tz hakuna amani kuna utulivu tu.
  5. M

    Mtatiro ataja siri za Lipumba baada ya kudaiwa kuteka na kutishia kuua mhasibu wa CUF

    kulindana kiutu uzima ni ni sahihi ila ukijifanya kujua watu wanakumaliza, hata hivyo lipumba ni wa ku... anachezea na maisha ya wengi.
  6. M

    Mazuri na mabaya ya Rais Magufuli tangu awe rais wa Tanzania

    inawezekana kuwa upo sahihi katika yale mazuri uliyomnenea lakini hatua ya kuyakabiri hayo matatizo amefeli sana, kupambana na ufisadi ni kuunda mfumo na sio kutumbua majipu bila kukamua, kusisitiza uwajibikaji sio kushutisha na kupiga mikwara ila ni kuhamasisha na kuwapa ari watendaji wake...
  7. M

    Sababu 11 za kwanini Lowassa anaweza kuwa Rais bora Tanzania

    ninashukuru kwa kukufikirisha ila hujanisoma vizuri, sikumsingizia mtu hapo na ukweli utabaki kuwa hivyo, kashfa zote ni kwasababu ya uluteli wake asiwe rais ndiyo ilivyokuwa kwa malechela hakufanikiwa, mizengwe mingi iliwekwa kwasababu ya uangalikana wake, nasisitiza ukatolik na ubakwata ndio sifa.
  8. M

    Sababu 11 za kwanini Lowassa anaweza kuwa Rais bora Tanzania

    kwa tz sifa kuu ya kuwa rais ni 1,ukatolik 2,ubakwata, bakwata ni taasisi ya katolik, hutaki muulize malecela.
  9. M

    Kimya Hiki, Is Not Right!, There Must Be Something Wrong Somewhere! Or Am, I Wrong!?

    tofauti na sisi wa kisayansi kuna wanaoamini kupatwa kwa jua ni ishara mbaya kwa ufalme, ukiunganisha tetemeko na njaa kubwa inayotarajiwa kutokana na ukame unaotarajiwa, isitoshe inaelezwa katika utawala huu kutatokea kupatwa kwa mwezi pia, lazima ajitafakari na aombe nusra.
  10. M

    Baada ya Kubakwa na watu kunyamaza sasa anyongwe tu tujue moja

    Awamu ya kwanza ya mkatolic hali ikuwa mbaya kihivyo, ya pili ya msuni ikawa afadhali kidogo, kwani kulipatikana RUKSA fulani fulani, ya tatu ya mkatolic mama au dada yako alinajisiwa zaidi, ya nne ya msuni nafuu kidogo, demokrasia kwa soni nyingi akawa anatembeatembea barabarani huku...
  11. M

    Polisi inawashikilia Mussa Sikabwe na Benjamin Nzogu kwa siku 11 bila kupelekwa Mahakamani

    inauma sana, natamani na mimi ningekuwa na roho na kipaji kama cha tundu, nifanyeje ili niweze, go tundu, go man, go go.. Mungu awe nawe.
  12. M

    Polisi inawashikilia Mussa Sikabwe na Benjamin Nzogu kwa siku 11 bila kupelekwa Mahakamani

    naamini hajui maana ya amani, mpaka sasa kuna utulivu na sio amani, go tundu go go..
  13. M

    John Mallya: Afya na Uzima Vinatoka kwa Mungu

    mbaya zaidi hotuba zake zote zinamjaribu Mungu na watz,pia zinatengeneza mazingira ya kujaribiwa, (fyatueni watoto...)
  14. M

    Alichosema Tundu Lissu baada ya Lowassa kukutana na Rais Magufuli

    okey! hakualikwa na maguful, ila waliomwalika walikuwa na malengo yao, sio muhimu kwetu ila hotuba ya rais.
  15. M

    Taarifa kwa Umma kutoka kwa Wazee wa Chama Cha CUF - Dar es Salaam

    kama amekubali kutumw! kwanini asitumike?
Back
Top Bottom