Mazuri na mabaya ya Rais Magufuli tangu awe rais wa Tanzania

Uzi wako ni wa hovyo kabisa, ni wa kujipendekeza! serikali hii imeonyesha ubaguzi mkubwa sana kwa kuwaajiri makada wa CCM tu kwenye nafasi za utendaji kama Ukurugenzi. Huu ni udhaifu mkubwa ambao haujawahi kutokea kwenye tawala zilizopita. Kwa upande wa Huduma za kijamii, mashuleni watoto wanakosa hata karatasi za kufanyia mitihani yao kisa elimu bure, tumeshuhudia kukosekana kwa chanjo muhimu sana katika hospitali zetu, sijui unafahamu matokeo ya kukosa chanjo wewe? Upande wa demokrasia kwa utawala huu umeiminya demokrasia kwa kiwango cha kutia aibu, hata mtoto mdogo anafahamu. Kifupi uache unafiki ili usaidie Taifa lako.
Uwe wa kwanza kuacha unafiki kwa kumkemea mwenyekiti wako wa chama aache ubabe na kuacha kuendesha chama kama Mali yake! Hapo utakuwa umesaidia sanaaa na utakuwa mzalendo wa hali ya juu kama mimi
 
Ndugu wanajamvi,

Kama kawaida yetu sisi wanaharakati na wazalendo wa hii nchi kuweka mambo mazito katika taifa hili bila kujali itikadi zetu.Kuna mambo mengi yanamulikiwa na tochi katika utawala wa awamu ya tano na Mimi nimekaa chini na kutafakari na kuja na ujumbe kwenu JF na watanzania wote kuhusu utawala wa awamu ya tano.

TUANZE NA MAZURI YALIYOFANYWA KWENYE AWAMU YA TANO:

1: Kujenga serikali ya UWAJIBIKAJI NA UWAZI: hapa Rais amefanya kazi ngumu kweli kuhakikisha serikali yake inawajibika kwa wananchi bila kujali itikadi za ki vyama,kidini ,kikabila na kikanda. Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikiwajibika ipasavyo kwa wananchi kwa hili tumemshukuru sanaa Rais kwa kazi aliyoifanya.

2: Kuusambaratisha mtandao wa mafisadi; hapa Rais wetu alijitoa kafara kuhakikisha anapambana na huu mtandao hatari kwenye nchi yetu. Watumishi hewa zaidi ya elfu kumi waliokuwa wanakula kodi ya wananchi wamefukuzwa na wengine kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kosa la kuhujumu uchumi.

Kwa kuwa siku zote Rushwa ni adui ya haki wananchi walikuwa wanateseka kupata Huduma za kijamii, hivyo MAGUFULI amefanya kazi nzito kuhakikisha kodi za wananchi inatumika ipasavyo hapa pia Tunamshukuru Rais wetu kwa dhati.

3: kujenga utawala bora; hapa tunachukilia mfano kwa kuwapa nafasi nyeti vijana wenye maono ya mbali katika kulipigania taifa hili kama POLEPOLE , MAKONDA,NAPE,MWIGHURU, UMMY,JAFFO,JANUARY na wengineo kwa kuwa vijana pia wana mtazamo pana kwenye dhana ya maendeleo hii imemsaidia sanaa RAIS kujenga utawala bora.

Pia ni Mara ya kwanza Tanzania katika awamu hii wasomi wengi wenye weledi wa hali ya juu wanapewa vyeo katika serikali, kama; prof. Mbarawa,prof.Ndalichako,prof.Muongo na wengineo wengi wenye hekima,busara na maarifa. Hii imemsaidia sanaa Rais kujenga serikali yenye Uzalendo wa hali ya juu na yenye maono ya mbali kuelekea kwenye uchumi wa kati.

3: Ujenzi wa demokrasia ya kweli; hapa ndipo kuna upotoshaji mwingi kuhusu hili dhana, lakini Mimi kwa maoni yangu pamoja na kufanya tafiti mbali mbali kwenye Jamii utawala wa MAGUFULI unafuata misingi ya katiba ya Jamhuri ya muungano. Wale wanaolalamika ni wale ambao hawajui misingi ya utawala bora na maana ya demokrasia.

Tunamsihi RAIS MAGUFULI aachane na magenge yenye mrengo wa kutugawa kwa kupotosha umma kuwa nchi haiendeshwi kwa kufuata katiba. Na ushauri wa bure ni kwamba wakitaka demokrasia ya kweli waanze kujitawala kwenye vyama vyao kwa kuzingatia katiba ya kweli kwa kuwa wameshindwa kuzuia ata migogoro ya kikatiba kwenye vyama vyao.

4: upatikanaji wa Huduma za kijamii kwa haraka na kwa ufanisi; sote tumeona wananchi wakishukuru mhe. RAIS MAGUFULI hadharani kwa kuhakikisha wananchi wanapata Huduma za kijamii kwa harakati na kwa ufanisi wa hali ya juu. Hosptalini na mashuleni kote huku Huduma imekuwa kwenye misingi ya haki yake.

MABAYA KWENYE HII AWAMU YA TANO:

kusema kweli Mimi kama mwananchi wa kawaida sijaona tatizo baya zaidi ya kujukwa kwenye genge la mabeberu ambao wanampotezea mda katika kuleta maendeleo kwa watanzania. Namsihi Rais wetu aachane mara moja na hili genge la kuunda mizengwe ya kila aina kwa kuwa wanaochelewa kupata maendeleo ni wananchi na siyo hawa watu.

Ogopa sanaa chama cha siasa kinachofanya siasa za matukio na miujiza, kwa kuwa wanatengeneza propaganda nyingi kwenye hizo matukio yenye mrengo wa kuchonganisha wananchi na utawala ni vyema hili genge likapuuzwa kabisa.

Chukulia mfano; hali ya maaafa kagera sote tunajua serikali ya kweli ni ile inayoratibu mambo yake kisayansi lakini wana propaganda hawalijui hili. Maafa ikitokea lazima serikali ichukue takwimu na kupanga namna ya kuwasaidia wananchi na hii lazima ichukue mda kwa sababu mambo haya ni ya kisayansi hayaitaji kukurupuka kama wao walivofikiria.

Kingine Rais hajaenda bukoba wameongea weee, wengine wakisema huyu ndiye anayejiita Rais wa wanyonge hastaili ata kidogo lakini ni mangapi Rais ameshirikiana na wananchi hadharani kwenye matukio mbali mbali ya kitaifa. Jibu ni nyepesi tuuh wao kwao Siasa ni matukio basi, hawana mikakati mizito ya kushauri serikali zaidi ya propaganda tuu.

Wanachokitafuta hasa ni nini kwa Rais wetu? Akitulia wanaongea na kuweka nongwa weeeee lakini akinguruma pia siku hiyo hawalali kumwekea kila aina ya mizengwe na kuanzisha naye vita ya kimtazamo kwenye utawala wake. Hili genge linalojisadifu kuwa wako karibu na wananchi wakati wa matukio tuwaogope vibaya mno.

Nitoe rai yangu kwa watanzania wote kuwa mabadiliko ya kweli tutayapata chini ya uongozi wa RAIS MAGUFULI na siyo wale waliyotaka kutuaminisha kuwa mabadiliko ni kuzungusha mikono kwa dakika tano. Ni vyema tukawapuuza kama tulivowapuuza kwenye sanduku la kura 2015.

Safari ya kuelekea uchumi wa kati bado inaendelea;

Ni wako kijana mtiifu, mzalendo na mwanaharakati wa kweli Tanzania.

SIMON MATO.
wale jamaa wa escrow,rada na kiwira + richmond wamesambaratishwa au wanalindwa?...au wanasubiri mahaka ya mafisadi?...ahaaa!
 
Amesema hajaona mabaya. Kifupi prezidaa ni malaika, mtakatifu
Soma andiko vizuri uilewe ila nikupe shortly ubaya wa MAGUFULI ni kupoteza mda kujadiliana au kujibizana na genge la watu ambao ni wafu kifikra! Tupo nao kimwili na kiroho lakini kifikra hawapo nasi tenaaaa!! Tuwaombee tuuh labda ufalme utawakumbuka watafufuka siku ikifika
 
Ndugu wanajamvi,

Kama kawaida yetu sisi wanaharakati na wazalendo wa hii nchi kuweka mambo mazito katika taifa hili bila kujali itikadi zetu.Kuna mambo mengi yanamulikiwa na tochi katika utawala wa awamu ya tano na Mimi nimekaa chini na kutafakari na kuja na ujumbe kwenu JF na watanzania wote kuhusu utawala wa awamu ya tano.

TUANZE NA MAZURI YALIYOFANYWA KWENYE AWAMU YA TANO:

1: Kujenga serikali ya UWAJIBIKAJI NA UWAZI: hapa Rais amefanya kazi ngumu kweli kuhakikisha serikali yake inawajibika kwa wananchi bila kujali itikadi za ki vyama,kidini ,kikabila na kikanda. Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikiwajibika ipasavyo kwa wananchi kwa hili tumemshukuru sanaa Rais kwa kazi aliyoifanya.

2: Kuusambaratisha mtandao wa mafisadi; hapa Rais wetu alijitoa kafara kuhakikisha anapambana na huu mtandao hatari kwenye nchi yetu. Watumishi hewa zaidi ya elfu kumi waliokuwa wanakula kodi ya wananchi wamefukuzwa na wengine kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kosa la kuhujumu uchumi.

Kwa kuwa siku zote Rushwa ni adui ya haki wananchi walikuwa wanateseka kupata Huduma za kijamii, hivyo MAGUFULI amefanya kazi nzito kuhakikisha kodi za wananchi inatumika ipasavyo hapa pia Tunamshukuru Rais wetu kwa dhati.

3: kujenga utawala bora; hapa tunachukilia mfano kwa kuwapa nafasi nyeti vijana wenye maono ya mbali katika kulipigania taifa hili kama POLEPOLE , MAKONDA,NAPE,MWIGHURU, UMMY,JAFFO,JANUARY na wengineo kwa kuwa vijana pia wana mtazamo pana kwenye dhana ya maendeleo hii imemsaidia sanaa RAIS kujenga utawala bora.

Pia ni Mara ya kwanza Tanzania katika awamu hii wasomi wengi wenye weledi wa hali ya juu wanapewa vyeo katika serikali, kama; prof. Mbarawa,prof.Ndalichako,prof.Muongo na wengineo wengi wenye hekima,busara na maarifa. Hii imemsaidia sanaa Rais kujenga serikali yenye Uzalendo wa hali ya juu na yenye maono ya mbali kuelekea kwenye uchumi wa kati.

3: Ujenzi wa demokrasia ya kweli; hapa ndipo kuna upotoshaji mwingi kuhusu hili dhana, lakini Mimi kwa maoni yangu pamoja na kufanya tafiti mbali mbali kwenye Jamii utawala wa MAGUFULI unafuata misingi ya katiba ya Jamhuri ya muungano. Wale wanaolalamika ni wale ambao hawajui misingi ya utawala bora na maana ya demokrasia.

Tunamsihi RAIS MAGUFULI aachane na magenge yenye mrengo wa kutugawa kwa kupotosha umma kuwa nchi haiendeshwi kwa kufuata katiba. Na ushauri wa bure ni kwamba wakitaka demokrasia ya kweli waanze kujitawala kwenye vyama vyao kwa kuzingatia katiba ya kweli kwa kuwa wameshindwa kuzuia ata migogoro ya kikatiba kwenye vyama vyao.

4: upatikanaji wa Huduma za kijamii kwa haraka na kwa ufanisi; sote tumeona wananchi wakishukuru mhe. RAIS MAGUFULI hadharani kwa kuhakikisha wananchi wanapata Huduma za kijamii kwa harakati na kwa ufanisi wa hali ya juu. Hosptalini na mashuleni kote huku Huduma imekuwa kwenye misingi ya haki yake.

MABAYA KWENYE HII AWAMU YA TANO:

kusema kweli Mimi kama mwananchi wa kawaida sijaona tatizo baya zaidi ya kujukwa kwenye genge la mabeberu ambao wanampotezea mda katika kuleta maendeleo kwa watanzania. Namsihi Rais wetu aachane mara moja na hili genge la kuunda mizengwe ya kila aina kwa kuwa wanaochelewa kupata maendeleo ni wananchi na siyo hawa watu.

Ogopa sanaa chama cha siasa kinachofanya siasa za matukio na miujiza, kwa kuwa wanatengeneza propaganda nyingi kwenye hizo matukio yenye mrengo wa kuchonganisha wananchi na utawala ni vyema hili genge likapuuzwa kabisa.

Chukulia mfano; hali ya maaafa kagera sote tunajua serikali ya kweli ni ile inayoratibu mambo yake kisayansi lakini wana propaganda hawalijui hili. Maafa ikitokea lazima serikali ichukue takwimu na kupanga namna ya kuwasaidia wananchi na hii lazima ichukue mda kwa sababu mambo haya ni ya kisayansi hayaitaji kukurupuka kama wao walivofikiria.

Kingine Rais hajaenda bukoba wameongea weee, wengine wakisema huyu ndiye anayejiita Rais wa wanyonge hastaili ata kidogo lakini ni mangapi Rais ameshirikiana na wananchi hadharani kwenye matukio mbali mbali ya kitaifa. Jibu ni nyepesi tuuh wao kwao Siasa ni matukio basi, hawana mikakati mizito ya kushauri serikali zaidi ya propaganda tuu.

Wanachokitafuta hasa ni nini kwa Rais wetu? Akitulia wanaongea na kuweka nongwa weeeee lakini akinguruma pia siku hiyo hawalali kumwekea kila aina ya mizengwe na kuanzisha naye vita ya kimtazamo kwenye utawala wake. Hili genge linalojisadifu kuwa wako karibu na wananchi wakati wa matukio tuwaogope vibaya mno.

Nitoe rai yangu kwa watanzania wote kuwa mabadiliko ya kweli tutayapata chini ya uongozi wa RAIS MAGUFULI na siyo wale waliyotaka kutuaminisha kuwa mabadiliko ni kuzungusha mikono kwa dakika tano. Ni vyema tukawapuuza kama tulivowapuuza kwenye sanduku la kura 2015.

Safari ya kuelekea uchumi wa kati bado inaendelea;

Ni wako kijana mtiifu, mzalendo na mwanaharakati wa kweli Tanzania.

SIMON MATO.
Umeandika andika tu.
 
Soma andiko vizuri uilewe ila nikupe shortly ubaya wa MAGUFULI ni kupoteza mda kujadiliana au kujibizana na genge la watu ambao ni wafu kifikra! Tupo nao kimwili na kiroho lakini kifikra hawapo nasi tenaaaa!! Tuwaombee tuuh labda ufalme utawakumbuka watafufuka siku ikifika
That's what I mean. kifupi umesema hakuna mabaya, au hukumbuki hata ulichoandika? Nimekusapoti, wewe unasema sijasoma vizuri. Mnaongea uongo kiasi kwamba mtu akikuunga mkono haujiamini unajua anakukejeli!
 
Uwe wa kwanza kuacha unafiki kwa kumkemea mwenyekiti wako wa chama aache ubabe na kuacha kuendesha chama kama Mali yake! Hapo utakuwa umesaidia sanaaa na utakuwa mzalendo wa hali ya juu kama mimi
Una tatizo kubwa sana la ugonjwa wa UKADA, unadhani kwamba kila akosoae serikali ya CCM ni kutoka vyama pinzani, ni tunnel mindedness! ndio maana si ajabu unasifia kila jambo hata kama la aibu na liko wazi kabisa mradi limetoka serikali ya CCM
 
Eeeeh!! Akili ndogo sikuzote hufikiria kukosoa kwa propaganda kuliko kujenga hoja yenye mvuto hivo sijutii kuona comment kama ya kwako
Kati yangu mimi na wewe nani akili ndogo? Mwenye akili ndogo ni alietuma muda mwingi kuandika ujinga, unaandika vitu usivyovijua kujikomba bila Kujua unaonyesha udogo wa akili yako! Akili kubwa huwa ina tabia ya kuandika mambo wanayoyajua na wala sio kuandika pumba
 
Kati yangu mimi na wewe nani akili ndogo? Mwenye akili ndogo ni alietuma muda mwingi kuandika ujinga, unaandika vitu usivyovijua kujikomba bila Kujua unaonyesha udogo wa akili yako! Akili kubwa huwa ina tabia ya kuandika mambo wanayoyajua na wala sio kuandika pumba
Mwache apite maana hata kipengele xha mabaya kaweka mazuri

Wewe unaona huyu mtu yuko vizuri kweli

Kama ni mwalimu huyu mtoto wangu afadhali akae nyumbani akue kuliko kufundishwa na zumbukuku
 
Ndugu wanajamvi,

Kama kawaida yetu sisi wanaharakati na wazalendo wa hii nchi kuweka mambo mazito katika taifa hili bila kujali itikadi zetu.Kuna mambo mengi yanamulikiwa na tochi katika utawala wa awamu ya tano na Mimi nimekaa chini na kutafakari na kuja na ujumbe kwenu JF na watanzania wote kuhusu utawala wa awamu ya tano.

TUANZE NA MAZURI YALIYOFANYWA KWENYE AWAMU YA TANO:

1: Kujenga serikali ya UWAJIBIKAJI NA UWAZI: hapa Rais amefanya kazi ngumu kweli kuhakikisha serikali yake inawajibika kwa wananchi bila kujali itikadi za ki vyama,kidini ,kikabila na kikanda. Serikali ya awamu ya tano imekuwa ikiwajibika ipasavyo kwa wananchi kwa hili tumemshukuru sanaa Rais kwa kazi aliyoifanya.

2: Kuusambaratisha mtandao wa mafisadi; hapa Rais wetu alijitoa kafara kuhakikisha anapambana na huu mtandao hatari kwenye nchi yetu. Watumishi hewa zaidi ya elfu kumi waliokuwa wanakula kodi ya wananchi wamefukuzwa na wengine kufikishwa kwenye vyombo vya sheria kwa kosa la kuhujumu uchumi.

Kwa kuwa siku zote Rushwa ni adui ya haki wananchi walikuwa wanateseka kupata Huduma za kijamii, hivyo MAGUFULI amefanya kazi nzito kuhakikisha kodi za wananchi inatumika ipasavyo hapa pia Tunamshukuru Rais wetu kwa dhati.

3: kujenga utawala bora; hapa tunachukilia mfano kwa kuwapa nafasi nyeti vijana wenye maono ya mbali katika kulipigania taifa hili kama POLEPOLE , MAKONDA,NAPE,MWIGHURU, UMMY,JAFFO,JANUARY na wengineo kwa kuwa vijana pia wana mtazamo pana kwenye dhana ya maendeleo hii imemsaidia sanaa RAIS kujenga utawala bora.

Pia ni Mara ya kwanza Tanzania katika awamu hii wasomi wengi wenye weledi wa hali ya juu wanapewa vyeo katika serikali, kama; prof. Mbarawa,prof.Ndalichako,prof.Muongo na wengineo wengi wenye hekima,busara na maarifa. Hii imemsaidia sanaa Rais kujenga serikali yenye Uzalendo wa hali ya juu na yenye maono ya mbali kuelekea kwenye uchumi wa kati.

3: Ujenzi wa demokrasia ya kweli; hapa ndipo kuna upotoshaji mwingi kuhusu hili dhana, lakini Mimi kwa maoni yangu pamoja na kufanya tafiti mbali mbali kwenye Jamii utawala wa MAGUFULI unafuata misingi ya katiba ya Jamhuri ya muungano. Wale wanaolalamika ni wale ambao hawajui misingi ya utawala bora na maana ya demokrasia.

Tunamsihi RAIS MAGUFULI aachane na magenge yenye mrengo wa kutugawa kwa kupotosha umma kuwa nchi haiendeshwi kwa kufuata katiba. Na ushauri wa bure ni kwamba wakitaka demokrasia ya kweli waanze kujitawala kwenye vyama vyao kwa kuzingatia katiba ya kweli kwa kuwa wameshindwa kuzuia ata migogoro ya kikatiba kwenye vyama vyao.

4: upatikanaji wa Huduma za kijamii kwa haraka na kwa ufanisi; sote tumeona wananchi wakishukuru mhe. RAIS MAGUFULI hadharani kwa kuhakikisha wananchi wanapata Huduma za kijamii kwa harakati na kwa ufanisi wa hali ya juu. Hosptalini na mashuleni kote huku Huduma imekuwa kwenye misingi ya haki yake.

MABAYA KWENYE HII AWAMU YA TANO:

kusema kweli Mimi kama mwananchi wa kawaida sijaona tatizo baya zaidi ya kujukwa kwenye genge la mabeberu ambao wanampotezea mda katika kuleta maendeleo kwa watanzania. Namsihi Rais wetu aachane mara moja na hili genge la kuunda mizengwe ya kila aina kwa kuwa wanaochelewa kupata maendeleo ni wananchi na siyo hawa watu.

Ogopa sanaa chama cha siasa kinachofanya siasa za matukio na miujiza, kwa kuwa wanatengeneza propaganda nyingi kwenye hizo matukio yenye mrengo wa kuchonganisha wananchi na utawala ni vyema hili genge likapuuzwa kabisa.

Chukulia mfano; hali ya maaafa kagera sote tunajua serikali ya kweli ni ile inayoratibu mambo yake kisayansi lakini wana propaganda hawalijui hili. Maafa ikitokea lazima serikali ichukue takwimu na kupanga namna ya kuwasaidia wananchi na hii lazima ichukue mda kwa sababu mambo haya ni ya kisayansi hayaitaji kukurupuka kama wao walivofikiria.

Kingine Rais hajaenda bukoba wameongea weee, wengine wakisema huyu ndiye anayejiita Rais wa wanyonge hastaili ata kidogo lakini ni mangapi Rais ameshirikiana na wananchi hadharani kwenye matukio mbali mbali ya kitaifa. Jibu ni nyepesi tuuh wao kwao Siasa ni matukio basi, hawana mikakati mizito ya kushauri serikali zaidi ya propaganda tuu.

Wanachokitafuta hasa ni nini kwa Rais wetu? Akitulia wanaongea na kuweka nongwa weeeee lakini akinguruma pia siku hiyo hawalali kumwekea kila aina ya mizengwe na kuanzisha naye vita ya kimtazamo kwenye utawala wake. Hili genge linalojisadifu kuwa wako karibu na wananchi wakati wa matukio tuwaogope vibaya mno.

Nitoe rai yangu kwa watanzania wote kuwa mabadiliko ya kweli tutayapata chini ya uongozi wa RAIS MAGUFULI na siyo wale waliyotaka kutuaminisha kuwa mabadiliko ni kuzungusha mikono kwa dakika tano. Ni vyema tukawapuuza kama tulivowapuuza kwenye sanduku la kura 2015.

Safari ya kuelekea uchumi wa kati bado inaendelea;

Ni wako kijana mtiifu, mzalendo na mwanaharakati wa kweli Tanzania.

SIMON MATO.

Si kweli, kuwa bila itikadi. Ya Mbowe na NHC
 
huyu mh. ni bingwa wa kuanzisha mambo bila kumaliza. suala la wafanyakazi hewa bado anahangaika nalo. wanafunzi hewa wamejazana kibao mashuleni lakini ameshindwa kuwaondoa. wakuu wa mikoa na wakurugenzi wamempuuza....mapungufu ni mengi kuliko mazuri..
hapana jamani.hem tuwe wakweli.tayari watumishi zaidi ya 16 elfu wafukuzwa rasmi.pia idadi kubwa zaidi inafuata.ni wale watakaobainika wanatumia vyeti vinavyofanana
 
Kati yangu mimi na wewe nani akili ndogo? Mwenye akili ndogo ni alietuma muda mwingi kuandika ujinga, unaandika vitu usivyovijua kujikomba bila Kujua unaonyesha udogo wa akili yako! Akili kubwa huwa ina tabia ya kuandika mambo wanayoyajua na wala sio kuandika pumba
Akili iliyokosa kazi always imelala mda wote ata ufanyeje bado itakuwa tuu gizani!! Naomba utumie mda wako kusoma vitabu vingi vitakupa maarifa maishani mwako maana naona haupo nasi duniani
 
Mwache apite maana hata kipengele xha mabaya kaweka mazuri

Wewe unaona huyu mtu yuko vizuri kweli

Kama ni mwalimu huyu mtoto wangu afadhali akae nyumbani akue kuliko kufundishwa na zumbukuku
Unajua watu kama nyie hukumu yenu ni fupi sanaaa ila mtatoka hadi kifua wazi kukataaa na kumpinga MAGUFULI lakini ipo siku yenuu
 
1. Uwajibikaji na UWAZI: Kwenye UWAZI sio kweli. Mambo mengi yanafichwafichwa. Maofisa serikalini wamekuwa ''waoga'' kutoa info wakiogopwa kutumbuliwa. Unaweza kuwa unatafatua info ndogo tu (mfano unataka kujua kuna wagonjwa wanagapi wa kipindupindu sehemu flani siku flani....) ila utapigwa danadana ya kufa mtu, kila mtu anaogopa kusema.

2. Kuusambaritisha mtandao wa Mafisadi: Hapa ameweza kwa kiasi kidogo na sanasana dagaa wengi zaidi ya samaki ndo walionaswa. Deals kubwa kubwa (IPTL, the giant & untouchable Lugumi etc) zitatutafuna hadi kesho kutwa. Kudeal na aliyekuwa staff hewa na kumuacha aliyekuwa analipa sio mwiso wa tatizo.

4. Ujenzi wa Demokrasia ya kweli: Are you kidding us? please respect us oooooh....
 
Since ww umeweka mazuri mi naweka mabaya
1, bei ya sukari imepanda
2, kuandika inabid urudie Mara nne nne uangalie usije itwa mchochezi
3, kufyatua watoto wakati tuna mpango wa uzazi
4, kugawa magangwala wakati wazir mtaalamu wa miamba anasema ni sumu
5, role model wake ni gadhafi
6, mgambo watafute kazi ingine kwamba wamachinga wasiguswe
7, watu waishi kama mashetani badala ya sisi wote tukaishi kama malaika
8, hakuna siasa mpaka 2020
9, hakuna ajira mpya wala nyongeza ya mishahara
10, rais kutembea na briefcase iliyojaa hela na kugawa msikitini
11, urasimu bandarini
12, kodi zimeongezeka atm, mpesa etc
13, muhimbili machine ya MR (whatever) haifanyi kazi ! Unakumbuka mwezi wake wa kwanza
14, dollar bado uko juu kule kule
15, chanjo hospital hakuna
16, bunge live hakuna
Boy I can go on and on and on and on tatizo ntaitwa mchochezi! Hawa wanacheza na media
 
inawezekana kuwa upo sahihi katika yale mazuri uliyomnenea lakini hatua ya kuyakabiri hayo matatizo amefeli sana, kupambana na ufisadi ni kuunda mfumo na sio kutumbua majipu bila kukamua, kusisitiza uwajibikaji sio kushutisha na kupiga mikwara ila ni kuhamasisha na kuwapa ari watendaji wake, zaidi ya yote aikumbuke katiba aliyoiapia, yapo mengi anayoyakiuka kwenye katiba.
 
Back
Top Bottom