Eti anasema chadema haina ofisi!! Ok, yawezekana chadema haina ofisi, lkn pia haina madeni kama chama chenu kimekopa kwa mashirika ya hifadhi, mmekopa kwa Shigongo, hata wafanyakazi wa media zenu za ccm mlishindwa kuwalipa mishahara kwa miezi zaidi ya 8. Kwani ccm ina nini cha maana zaidi ya...
Sasa hivi nchi inaendeshwa kwa chuki na visasi. Miaka yote hawakumnyang'anya eti leo kwa kuwa amehamia chadema ndo wanamnyang'anya shamba. Mbona vigogo karibu wote wana mashamba makubwa. Na yeye sio kwamba hajapaendeleza, kuna nyumba na wafanyakazi na mifugo. Walitakiwa wamuombe awagawie raia...
Halafu wakiitwa madikiteta wanakimbilia mahakamani, huu ni nini kama sio udikiteta. Aibu kubwa sana chama tawala, wakazi wa dar wamewakataa kwa kura, nyie mnalazimisha.
Hivi ccm hawaoni aibu kwa upuuzi huu wa wazi wazi wanaoufanya, raia wanaona na wajua kila kinachoendelea na hii itawapunguzia kura ccm 2020 wanaweza wasipate diwanichata mmoja uchaguzi ujao
Anakumbuka shuka asubuhi? Gharama ya kukimbizana na mwenge nchi nzima hadi vijiji ni mabilioni ya pesa yametumika, gharama ya kuzima mwenge ni ndogo tu. Hapo hakuna alichobana matumizi, anacheza na akili zetu tu kutafuta kicki.
Na ndio maana wameenda kufungua akaunti kwenye benki ya serikali, ingekuwa CRDB wasingekubali ujinga huo. Huo ni wizi wa wazi kabisa anataka kuiba fedha za chama. Aibu sana hii kwa msomi
Yaani Bwana yule (Lipumba)ameifanya cuf kama mali yake kwamba anaifanya atakavyo wakati wowote. Anaiweka mfukoni na kuitoa at any time, anaigeuza geuza kama samaki anavyokaangwa kikaangoni. Kwa nini ajirudishe madarakani bila kamati kuu kuridhia? na anajua tayari kuna uongozi uliochaguliwa baada...
Angekuwa na mke nadhani asingefanya mambo ya kijinga, maana mwana hapendagi mambo ya aibu, lazima angemshauri.
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
Ccm na ACT wanamuunga mkoo lipumba ili aibomoe ukawa wakitaraji kwamba ACT ndio itashika chat, kalaghabau Ukawa haifi ng'oo, na lipumba amenyoosha maelezo leo ameomba poo eti anaomba maridhiano na Maalim waongee kutafuta muafaka, 'too late propesa just gooo.
Sent from my GT-I9060I using...
Kama Lipumba anaamini ana wafuasi wengi basi aende akaanzishe chama chake watamfuata huko. Juzi amelala kwenye ofisi za chama pale buguruni kwa kuhofia kupinduliwa endapo angelala nyumbani kwake. Aibu sana.
Sent from my GT-I9060I using JamiiForums mobile app
Lipumba ametumwa kuja kuiondoa cuf kwenye ukawa ili ijitegemee, lengo la waliomtuma ni kudhoofisha ukawa ili Pia kupunguza kura za Lowasa kwenye urais 2020. Jiulizeni yeye mwenyewe ndo alisema anapumzika siasa, na wazee na mashehe walimshauri asijiuzuru akakataa, eti leo anasema wazee wale wale...
Kwa udikiteta huu, ni afadhali kutawaliwa na mzungu kuliko mtu mweusi mwenzetu. Kiongozi gani huyu hafuati sheria za nchi, anaongoza kwa matamko kama Mungu. Ee Mwenyezi Mungu Muumba wa Mbingu na nchi, nakuomba utuondolee utawala huu kama ulivyokuwa unakomesha utawala dhalimu nyakati zile za...
Lowasa hakuhusika na richmond na ndio maana mpaka leo hawawezi kumpeleka mahakamani. Waziri mkuu hahusiki na mikataba, waiohusika na mikataba ile ilikuwa ni waziri wa nishati na katibu mkuu wake, mh Msabaha. Hata kwenye negotiation team (kupatanisha bei) Lowasa hakuwepo. Lkn pamoja na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.