Hao ndio ccm bwana utawapenda kwanamna wanavyojichakachua kinamna wenyewe!ebu ngoja tuwe wakweli, ukimwangalia membe, pinda, ngereja, lowasa, migiro, jadge r, na wengine watia nia wa ccm ukiachilia m.nyerere na kidoogo mwandoswa kweli wanakariba ya uongozi kweli?! Pima utendaji wao mda ambao...