Recent content by Mmaasai

  1. M

    TANZIA Helikopta yaanguka, aliyekuwa Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe na wengine wapoteza maisha!

    Dah! Watu kama filip kunjombe walihitajika sana ktk serikali ijayo mungu ailaze roho yake mahali pema peponi watanzania tulikupenda lkn mungu kakupenda Zaid
  2. M

    TANZIA: Mzee Emanuel Makaidi, Mwenyekiti mwenza wa UKAWA afariki dunia

    Mh! Aiseee hii inauma kupita kawaida mzee alikua jembe huyu!
  3. M

    Picha tu: Lowassa Mwanza

    Wame edit lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaa
  4. M

    Natafuta kazi ya udereva

    Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 Elimu yangu kidato cha nne na pia nimesoma chuo cha usafirisha (N.I.T) National institute of transport. Ninauzoefu wa miaka saba sasa leseni yangu ina madaraja yote na ninauwezo wa kuendesha gari aina zote. Kwa mwenye nafasi anisaidie
Back
Top Bottom