Dah! Watu kama filip kunjombe walihitajika sana ktk serikali ijayo mungu ailaze roho yake mahali pema peponi watanzania tulikupenda lkn mungu kakupenda Zaid
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 Elimu yangu kidato cha nne na pia nimesoma chuo cha usafirisha (N.I.T) National institute of transport. Ninauzoefu wa miaka saba sasa leseni yangu ina madaraja yote na ninauwezo wa kuendesha gari aina zote. Kwa mwenye nafasi anisaidie
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.