Zamani ilikuwa ----------- na Raiamwema, ----------- akapigwa ban akabaki Raiamwema ya kina Generali Ulimwengu lakini siku hizi na yenyewe hakuna kitu kabisa. Labda the Citizen.
Kaa kando mzee, unafikiri kila mtu humu ana njaa kama LB7? Weka facts tukuelewe sio kubwabwaja tu hapa. Unashindwa hata na gsu at least amejaribu kujieleza.
mkuu gsu mengi ya uliyoongea ni kweli na nakubaliana nayo. Hata hivyo hoja yangu ni kwamba Mkapa alifanya mengi vile vile lakini nchi aliiacha vizuri pia, lakini JK kala mpaka mbegu.
Wanabodi heshima mbele.
Tunakumbuka wakati Rais wa awamu ya tatu Mh. Ben Mkapa alipokuwa akitoka madarakani aliondoka akiwa kifua mbele akijivunia mafanikio aliyokuwa amefikia.
Mh. Mkapa alitamka kwamba ameacha hazina ya kutosha ya fedha za ndani na fedha za kigeni. Makusanyo ya kodi yalikuwa...
Ni kweli hajaonekana siku nyingi. Kipindi chake cha Jicho letu ndani ya habari alikuwa akikiendesha vizuri sana. Hata hivyo siku hizi Star TV na yenyewe imekuwa kama TBC, kwa hiyo imepoteza sana mvuto. Hata akiondoka sawa tu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.