nlienda cafe, nkamuonexha sms ya m pesa, akaingiza zile code, na taarfa zangu, ksha aka print form na kunkabdhi wala hakunambia kuhsu password, kwan ikoje mkuu kuhsu password
nlienda cafe, nkamuonexha sms ya mpesa. akaingza na akaanza kujaza tarfa zangu, baada ya kumalza kujaza, aka print na kunpa form, axa password ckupewa, kwan ikoje MKUU
Wakuu mi ni mhitimu wa kidato cha sita.
Nimeshndwa kwenda kwenye kambi nliyopangiwa kutokana na hali ngumu ya kimaisha, najsomesha hapa nlikuwa natafuta hela ya kuomba mkopo.
Bado wazazi wangu nao wananitegemea kwani ni wazee, naomba ushauri taratibu za kuahirisha!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.