hata kama wamefanya makosa....na nikweli.kabisa wamefanya makosa haifai katika kuwakufurisha au kuwalaan....ni.makosa.....wanatakiwa kupewa nasaha...na sio kutumia.maneno ya laanatulah.....bado wao ni waislam......nisieleweke.vibaya....hao viongoz wa bakwata wanamakosa...ila sio kuwakufurisha na...
naona ww umeahikiwa mawazo..na hao unao waita....mbona ww mvivu wa kuchambia mambo....inamaana hao ndo walokishikia msimamo.....nadhan...kwa mtindo huu kunabaadhi ya mambo yako ww na mkeo huwa unawaita watu wakusaidie pia au kama hujaoa huenda ukafanya hivyo.....acha uvivu na ututusa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.