Big up mdau, in simple terms Madaktari ni Terrorists mimi binafsi nawalaani sanaa, wanaokufa sio PM wala waziri wao wala katibu mkuu, kwanini wawaadhibu wasio na hatia??? Wananchi wamewakosea nn madaktari?? In other words maslahi yao ni bora kuliko uhai wa mtanzania, shame on them!!