Recent content by mliho

  1. M

    Huu ndiyo ulaghai wa CHADEMA kwa Watanzania?.

    Naunga mkono mashaka ya mienendo ya CHADEMA ila pia inanipa shida mienendo ya wachangiaji na wapenzi wa CHADEMA, huwa najiuliza ni mapenzi gani hayo yanayokufanya uanche kufikiri na kuhoji? ukihoji tuu wapenzi wa chama wanakurushia matusi, its real sad!!! Sijui watanzania tunaenda wapi kama...
  2. M

    Siungi mkono mgomo wa madaktari...

    Big up mdau, in simple terms Madaktari ni Terrorists mimi binafsi nawalaani sanaa, wanaokufa sio PM wala waziri wao wala katibu mkuu, kwanini wawaadhibu wasio na hatia??? Wananchi wamewakosea nn madaktari?? In other words maslahi yao ni bora kuliko uhai wa mtanzania, shame on them!!
  3. M

    "CUF" je hili la udini,bado mnabisha?

    Very good observation, lakini wadau naomba analysis hizi zifanyike kwenye vyama vyoote, na wa kina ufanyike CDM angalieni link yake na kanisaa! Lets be free minded
Back
Top Bottom