Habari ndugu wana jamvi!
Naomba kupata Updates za soko la tikiti kwa maeneo ya Dar, Pwani na Morogoro, soko likoje kwa mwezi huu wa tisa?
Na pia, kwa wale wajuzi wa soko la zao hili, naomba kufahamu ni miezi ipi soko la tikiti linakuwa zuri?
Ahsante
Habari zenu wana JF!
Naomba kuuliza, kama kuna mtu anafahamu tarehe ya kutolewa majina ya uhamisho, namaanisha vibali vya June 2015 anihabarishe. Ni tarehe gani watatoa?
Asanteni.
Habari ya muda huu wana JF,
kuna mwalimu yuko TANGA JIJI anatafuta mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi awe anatoka IRINGA MANISPAA, idara ya sekondari_______amethibitishwa kazini kama ukotayari wasiliana naye kwa namba hii 0717303093, ili muwahi vibali vya desember.
ASANTE.
Habari zenu wana JF, naitwa nwl. DAVID nipo IKWIRIRI_RUFIJI MKOA WA PWANI,idara ya sekondari km kuna mtu yuko mwanza jiji tufanye mchakato wa kubadilishana naye, IKWIRIRI ipo jirani na dar es salaam, nauli ni elfu tano hadi mbagala,.usafiri upo hadi saa mbili usiku, ikwiriri kuna maji na umeme...
Habari zenu ndg zangu,
naitwa Mwl. MUSA natafuta mwalimu wa kubadilishana naye eneo la kazi yeye aje ikwiriri sekondari iliyopo hamlashauri ya wilaya ya rufiji mkoa wa pwani mimi niende mwanza jiji/ ndani ya mkoa wa mwanza, idara ya sekondari. ikwiriri ni eneo ambalo halipo mbali na mkoa wa dar...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.