polise jamii au walinzi shirikishi usajiliwa na serikali za mitaa nanyi nendeni mkajisajili kwa kazi hyo.lakin haiwezekan watu wote waliojiandikisha kupiga kura zaidi ya milioni 22 nusu ya watanzania wawe walinzi hiyo ni fujo na haijwahi kutokea kokote duniani
we acha fikra za kipuuzi,ujana hauna maana ya kutumika unreasonable tena na wanasiasa uchwara wa kitz ambao ni wabinafsi na mafisadi,ni kweli tunahutaji mabadiliko lkn si kuyza utu wako na uhai jwa ajili yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.