Na inanyooka...Watanzania tulizoea kubweteka mno! Hizi kelele zooote ni siasa mufilisi tu za chadema. Badala ya kusaidia maendeleo ya nchi hususani majimboni mwao, wanaendeleza siasa za kejeli na majungu.
Watu wafanye kazi Tanzania hakuna njaa. Hawa wanasiasa wa kimazoea tuwaepuke kama ukoma! Wanarudisha maendeleo ya nchi nyuma. Tz imejaa neema na hata kama mikoa michache itakumbwa na uhaba wa chakula mikoa inayopata mvua za kutosha inaweza kabisa kuwashibisha wengine. Tuache siasa za kejeli na...
Hahaaaaah wanajitutumua tu hawa jamaa hakuna jipya!
Tunategemea kwamba UPINZANI utoe uongozi mbadala wenye tija hasa tuone ustawi wa halmashauri na watu wake wakipata huduma bora za kijamii. Rombo bado hakuna lililofanyika la maana chini ya Chadema...tuache kudanganyana.
We need alternative...
We MAIYE JIbu!!! hili suala la ulevi uliopindukia hadi kupelekea kashfa za kuagiza wanaume kenya ni dhahiri Chadema hamuitakii mema Rombo. watu ni walevi kupindukia! still hakuna mnachofanya kuinusuru jamii ya wana Rombo na hiyo hali. Tuwe realistic...baadhi ya wenyeviti na watendaji wenu ni...
Tz ina safari ndefu ndg! Lazima watu wakubali JPM ni kiboko...na hakika kama ni Rais wa nchi tumepata mtu makini. People should change their mindset! ni ukweli ulio wazi kuwa akili ndogo hujadili watu na matukio...of which is nonsense! Mtu mjanja hujikita kujadili hoja na uhalisia wa maisha...
Upuuzi tu! kuna mengi ya kufanya ambayo bado hamjayagusia kabisaaa hasa tarafa za mashati usseri na Tarakea. Rombo sio Mkuu tuu! muwe makini this time hatutaki mchezo kabisaaa. Mbunge haoneshi kama anajitambua....huduma nyingi za kijamii wilaya ya Rombo ni hovyo....haitoshi kusema tu halmashauri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.