Recent content by mla chake

  1. M

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli akiri kuwa hakujiandaa kuwa Rais!

    Tuambie ipi ni lugha kubwa zaidi maana naona unatusumbua utafikiri mimba yako ilitunga kamusini. Mtoto wa lowasa nn ???
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

    We jamaa unayesema ghalama y vifaa ni kwa kila mtu na chake. Acha mambo yako.......
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kila kitambulisho cha Taifa kimegharimu tsh 89,800

    Hiki kitambulisho nilichonacho Mimi ndo cha ghalama hii yote. Siamini Kama cha ghalama yote hiyo halafu kinazidi nyumba, matumizi na mshahara kwa mwaka mzima. Mbona Kama serikali inakinyma hadhi kupewa mm. Hii nchi siielewi. Kama naumwa nakoswa pesa ya drip halafu nimepewa kitambulisho cha...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Nyie ndo hawo wenye majipu . Mtaisoma namba ........ Tena anipe nafsi nimsaidie tumbua na naanza nanyi
  5. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Ndo nimehakk siasa ni kazi Kama kazi zingine. Watu wanaongea wapate Juliakana. Wabunge hivohivo mtu anataka bangi na mirungi iluhsiwe. Mwingine naye anatk raisi asafili kbl ya kuulza hivo vikao vya nje kuna mwaklsh au la.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Hotuba za Rais Magufuli za kichwani zinakera, asome hotuba anayoandaliwa

    Tatizo watanzania mmezoea kudanganywa unaona kitu cheupe mtu anakwambia bluu. Yani uwazi na ukweli hatupendiii. Mnapenda zuwepo bodi za uchunguzi kwa kila kitu. Mie naamini binadamu Hana wema.
Back
Top Bottom