Siku zote ukweli unaposemwa hutafsirika ni uchonganishi, uchafuzi, uongo, fitina, majungu, wivu n.k n.k
Kweli huwaweka watu huru.
Go on Kubenea go on MAWIO gazeti ambalo nikilikosa naumwa.
Muuangano hautavunjika kirahisi udhaniavyo.
Mtasubiri saaaana matokeo yake magogoni hiyoooo.
Mjiandae kuwa kambi ya upinzani tu kwa miaka mitano then mnapotea kabisa kama ilivyokuwa KANU nchini Kenya.
MwanaDiwani
We have plenty of political analyst in the world who have zero political practise and we live in a world where everybody has an opinion and we have to live with that.
Wewe haki yako ilipochukuliwa na wenye CHADEMA ulifanya nini zaidi ya kutishia kuwa utaitisha mkutano wa waandishi...
Kuna mtu hapa njaa imemnyoosha sasa anajihisi na yeye ni mtii eti anasema "umoja wao ni ushindi wao"
Kama kweli wamoja si mumuunge mkono Lowasa kwa kumwachia uhuru wake mbona Lowasa tu wengine je?
"Akajirekebishe huko walikomtuma"
Msaliti huchukuwa muda saaaaaaana kujitambua, hebu tukumbuke Yuda Eskalioti ilikuwa rahisi kutubu pale alipotendewa muujiza wa kuunganishwa sikio baada ya kukatwa na wale waliomkamata Yesu.
Ni lazima itimie, kama sio leo kesho.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.