Recent content by mkweliwatz

  1. M

    DOKEZO Wafanyakazi wa Mgodi Musoma tunanyanyasika, tukilalamika tunambiwa “nendeni popote mnapotaka”

    Sisi Wafanyakazi 160 tuliopo katika Mgodi mdogo ambao unapatikana Mkoani Mara, Wilaya ya Musoma, Kata ya Kigera, Kijiji cha Kwitope chini ya Kampuni ya IDERA au GDM tuna changamoto ambazo tunatamani jamii izisikie na ujumbe ufika kwa mamlaka husika ili utatuzi upatikane. Tunacheleweshewa sana...
Back
Top Bottom