Recent content by Mkwavingwa

  1. M

    Nini kilimfanya Benjamin Mkapa ashindwe kuchapa Taazia ya muasisi wa TANU Abdul Sykes katika magazeti ya chama?

    Lakini naona ni prestige kwako kwani mijadala yako ni ya wazi na huwafokei kama namna ya wao wakufokeavyo kiasi unatambua kabisa wamekasilishwa either na ukweli au jingene
  2. M

    Nini kilimfanya Benjamin Mkapa ashindwe kuchapa Taazia ya muasisi wa TANU Abdul Sykes katika magazeti ya chama?

    Lakini naona ni prestige kwako kwani mijadala yako ni ya wazi na huwafokei kama namna ya wao wakufokeavyo kiasi unatambua kabisa wamekasilishwa either na ukweli au jingene
  3. M

    Nini kilimfanya Benjamin Mkapa ashindwe kuchapa Taazia ya muasisi wa TANU Abdul Sykes katika magazeti ya chama?

    Ni sawa na kuhoji kuonekana kwa Philip mangula majukwaani ili kuvunja hoja ya anae eleze umashuhuri wake kwenye siasa kwa miongo hii, kisha badae ukaja kuwapa mfano wa bashiru Ally kakulwa anavyo spit majukwaani
  4. M

    Nini kilimfanya Benjamin Mkapa ashindwe kuchapa Taazia ya muasisi wa TANU Abdul Sykes katika magazeti ya chama?

    Muheshimiwa una ujasiri mzuri wa kuhoji japo intention yako sijajua, isije kuwa ndio hidden agenda kama anayotuhumiwa Mohamed said ya kutetea dini yake "jambo ambalo sioni ubaya wake". Hivi kweli hushangazwi na ziada ya majibu ya bwana moh
  5. M

    Kwanini wanawake(wake zetu) Huchukia ndugu upande wa Mume?

    Ni kitu gani hupelekea, mimi nimewahi kukaa pande zote na nimeexperience hali zote Nikifanya Utafiti siku moja, alinishangaza dada mmoja yeye alisema ni gubu, kwamba hutokea automatically ndugu wa Mume kumchukia mwanamke Hata wanawake wenzao?! Tena hawa ndio ugomvi wao huishia kulogana na mipasho
  6. M

    Kwanini wanawake(wake zetu) Huchukia ndugu upande wa Mume?

    Ni kitu gani hupelekea, mimi nimewahi kukaa pande zote na nimeexperience hali zote Nikifanya Utafiti siku moja, alinishangaza dada mmoja yeye alisema ni gubu, kwamba hutokea automatically ndugu wa Mume kumchukia mwanamke
  7. M

    Kwanini wanawake(wake zetu) Huchukia ndugu upande wa Mume?

    Ni kitu gani hupelekea, mimi nimewahi kukaa pande zote na nimeexperience hali zote
  8. M

    Kwanini wanawake(wake zetu) Huchukia ndugu upande wa Mume?

    Kwa Utafiti usio rasmi kumekuwa na kasumba ya wanawake punde tu wanapoingia katika ndoa kuanzisha bifu zisizo na msingi kwa ndugu upande wa Mume, huwa inashangaza zaidi hasa kwa Mume mwenye uwezo wa kifedha, hivi ni kwanini?
  9. M

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Unaeleza pasina grounds, hivi mwajenga vipi hoja nyinyi kizazi cha Nyoka
  10. M

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Dr huyu dada mpotoshaji na hata hoja yake haina mashiko
  11. M

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Huko America kwenyewe kunaudhibiti ili kucounter masuala mithali ya ugaidi na mengineyo, hebu jaribuni mara moja moja kuonyesha dhamira njema kwa serilikali, uongo si kitu kizuri
  12. M

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Unaj Unataka kujenga hoja, unakosa misingi ' sasa huyo Serikali unampata vipi na hatia
  13. M

    Sheria kandamizi zasababisha niachishwe ajira yangu

    Ili akishinda URAIS akabake bunge? Mmh too low
  14. M

    Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Dar: Mkutano Mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi, Yeremia Kulwa Maganja ateuliwa kuwania Urais Tanzania

    Unamdiscuss MBATIA kwenye maficho na sera unaziacha! U hopeless uko nawewe
  15. M

    Yaliyojiri kutoka Diamond Jubilee Dar: Mkutano Mkuu wa Chama cha NCCR Mageuzi, Yeremia Kulwa Maganja ateuliwa kuwania Urais Tanzania

    Ni mizaa au mizaha? Pascal punguza dharau! Unatumia fallacy of presumption kutohoa matusi ya rejareja ya wafanya fujo wa chadema, hebu staarabika na uanalyze sera na si kuhusudu mtu aliekuzidi uthubutu wa kuitumikia nchi yake huru
Back
Top Bottom