Asante kuliona hili mwanachama mwenzangu useye pepesa macho. Lisu ni mpango wa Mungu anayebisha abishe kwani muda unazidi kusonga mbele tutaendelea kuyaona.
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mimi ni mwanaccm ila tangu Lisu aliporudi nilianza kuona hatari ya chama changu. Ninavyojua Mimi juu ya Lisu hakuna wa kumrudisha nyuma. Kumbuka chochote atakachofanyiwa Lisu ni hatari kwa mtenda ndani na nje.Kwa hiyo kila majira huja na mambo yake ambayo tunayaona kutoka kwa Lisu
Sent from my...
Mku kwa hali ilivyo juu ya Lisu sidhani kama alivyodai ushindi wa mezani hatakubali kurudi nyuma kama alivyojinasibu.Na hili mwanaccm mwenzangu wakati umebadilika kumbuka vuguvugu la upinzani limezidi kukua kwani Mrema na Lisu ni watu wawili tofauti kwa msimamo na kila kitu.
Kwa ujumla Lisu ana...
Mlinzi wa Dunia hapangiwi akiamua kuja kutuchunguza hakuna cha kumzuia Mku kumbuka Sudani ya Al Bashiri na Saddam waliingia na kuwachunguza. Washindwa je kwetu Tanzania japo sio vizuri
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mku tujue hapa tulipofikia mpaka tunanyoshewa kidole na Umoja Ulaya na America tumefika je.
Kikwete, Mkapa Nyerere na Mwinyi walikuwa vibara hapa kwani hizi nchi nilizozitaja hapa tulikuwa na historia nzuri nazo.
Kwa nini hii miaka michache tuu hii historia zuri imeondoka gafla au kauli zetu...
Mku kumbuka Lisu hakusukumwa kugombea ila ni kwa utashishi wake na na Chama cake na kwa historia yake pia imbeba sana
Sent from my TECNO-W5 using JamiiForums mobile app
Mku hata Ethiopia hayo yote yapo lakini Waithiopia wanaikimbia Nchi yao kila siku.Ccm tulikosea sana kuwekeza kwenye vitu badala kuwapa Raia kile kinachohitajika kwa wakati na mahali husika pia makundi kwenye chama ni mengi hasa wale waliodharauliwa na viongozi huku nao wakiwa ni viongozi pia...
Benson mwenyekiti wako wa zamani Mbowe avyoomba ufanyeke ktk 9/12!2019 hukumwelewa Mku.
Na nakumbuka aliacha ujumbe huu ktk Taifa yaani siku KIKINUKA tusimtafute.
Yy alishaona Itikadi zilivyoligawa taifa pendwa. Tuombe Amani itamalaki
Tangu kuwa na pande mbili yaani ccm na asili mm nimebaki mtazamaji tuu.
Hicho chenye hali ngumu ni kipi mku. Kwenye ukamanda sipo nilishapita bila shuruti Mku
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.