Uchaguzi 2020 Kampeni za mwaka huu zitaiachia nchi nyufa za chuki, ubaguzi, dharau kwa dini na viongozi wake, hasira. Tunahitaji muafaka wa kitaifa

Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwasasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Kuna askofu anaitwa mwamakula na shehe anaitwa katimba, je umewahi kuwasikia wakitoa Sara?
Tundu ameachwa naongea anavyotaka sasa kosa liko wapi?
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwasasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Benson mwenyekiti wako wa zamani Mbowe avyoomba ufanyeke ktk 9/12!2019 hukumwelewa Mku.
Na nakumbuka aliacha ujumbe huu ktk Taifa yaani siku KIKINUKA tusimtafute.
Yy alishaona Itikadi zilivyoligawa taifa pendwa. Tuombe Amani itamalaki
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwasasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Maono yananiambia kwamba kabla ya Oktoba 28,kutatokea tukio ambalo si la kawaida kwa mmoja wa wagombea urais au mwenza wake na kupelekea uchaguzi aidha kuahirishwa au kusogezwa mbele...naomba nisiitwe mchawi jamani
 
Bushiri kawaambia vijana wake wajibu hoja za wapinzani ohoo wao wakaanza kuporokosha mitusi...na mbaya zaidi bora wangewatukana wanasiasa wenzao lakini wakaona ni vizuri waanze na hao viongozi wa dini.

Kweli hiki chama sasa si muelekeo tu Bali hata maadili hakina kabisa.
Wamechanganyikiwa
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwasasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
We jamaa ingawa umenunuliwa na CCM Ila moyo wako upo kweli ya Mungu mara nyingi sana. Kaombe msamaha rudi Chadema
 
Baada ya kufuatilia kampeni za mwaka huu hususan za Chama cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuangalia serikali na Tume wanavyochezesha mchezo huu wa kampeni nashuhudiwa ndani ya nafsi yangu kuwa iwapo CCM itashinda au CHADEMA tutakuwa na miaka mitano iliyojaa

1. Chuki baina ya wananchi na Serikali na Wanachama wa vyama vikubwa vya siasa. Chuki hii inaletwa na upendeleo wa wazi dhidi ya CCM na kuzuia watu kutoa hasira zao waziwazi badala yake wanaweka vinyongo moyoni

2. Ubaguzi. Maadili ya Uchaguzi yanakataza matumizi ya lugha za makabila wakati wa kampeni. Bahati Magufuli anajua lugha za makabila mengi ya kanda ya ziwa na ameishi au kufanya kazi mikoa hiyo kwa wakati fulani. Sasa kampeni zake kanda ya ziwa ni kisukuma, kihaya n.k halafu yuko live TBC. Anawaonyesha kuwa yeye ni mwenzao ni mtoto wao. Hili ni ubaguzi na Mwl. Nyerere alisema hii ni sawa na kula nyama ya mtu. Magufuli, Bashiru, Polepole n.k wote kanda ya ziwa.

3. Dharau kwa Dini na viongozi wake. Kugombea kwa Askofu Gwajima na sala na dua wanazotoa viongozi wa dini kwenye kampeni za CCM ambazo ziko live kila siku zinafanya wananchi wengi tunawadharau matokeo yake tutadharau dini na mwisho wa siku kikinuka hatutakuwa na wa Kumsikiliza maana dini na viongozi wake tutaziona kama vyama tu.

Aidha hakuna kiongozi wa dini hata mmoja ambae amekemea au kuonyesha sympathy na Tundu Lissu hadharani dhidi ya shambulio lake la September 2017. Matokeo yake viongozi wa dini wanaelemea upande wa wawashukiwa wa tukio.

4. Hasira ipo dhidi ya uonevu. Itazidi sana wakati wa kutangaza matokeo na itachochewa sana na walioshindwa.

5. Kupoteza imani na sheria na vyombo vinavyoisimamia. Kama unaongea kwa lugha za makabila, unapiga simu kuagiza barabara zitengenezwe wakati uko kwenye kampeni kinyume na sheria inavyotaka na hatua yoyote inayochukuliwa hata ya onyo na wewe ndio Mkuu wa nchi maana yake unawaonyesha watu kuwa sheria haina maana au ni ya wale sio yako hali ya kuwa wakati huu wenzako nao wanakuchukulia uko kama wao ni shida.

Sioni kwasasa katika serikali, dini au kwenye vyama mtu anayeweza kuzungumza na Taifa kwa umoja wetu. Tukiendelea hivi naona miaka 5 ya mivutano bila kufanya maendeleo. Tunahitaji Muafaka wa Kitaifa wakati huu wa kampeni kabla ya Kura na kabla ya Matokeo. Sioni upendo kati ya Magufuli na Lissu. Mafahali wawili wakivutana nyasi ndio zitaumia.

TUNATAKA MUAFAKA WA KITAIFA BARA NA ZANZIBAR KABLA YA SIKU YA KURA. JUKWAA LA WAHARIRI WAMEANZA KWA KUWAKUTANISHA CHADEMA NA TBC SERIKALI NAYO IFUATE KUPITIA TDC
Nina chuki na jiwe ,
 
Back
Top Bottom