Recent content by mkuu123

  1. M

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    ..mkuu una maanisha nn kusema "nyumba nzuri inaonekanaga"?..kila nyumba ni nzuri endapo tu anayeishi ameridhika nayo..ukija na kigezo cha sijui "kuonekanaga" kuna mtu anaweza kusema hata nyumba unayoishi wewe ni mbaya haifai binadamu kuishi just because amewahi kuona & kuishi nyumba nzuri kuliko...
  2. M

    Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    ..mkuu je una uhakika hiyo nyumba aliyokuwa anaishi baba yake ni mbaya kwa kiwango unachosema?.je baba yake aliwahi kulalamika mahali popote kuwa anaishi sehemu mbaya?..maana unaweza kuwa unafikiri makazi mazuri ni majumba makubwa ya ghorofa wakati sio preference ya kila mtu hasa wazee!..watu...
  3. M

    Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    mkuu narudia kwa mara ya mwisho acha story za vijiweni..umewahi kufika Abuja?inafanana na design ya dom?.kama hujafika angalia basi hata YouTube uje useme hiyo design inafanana na dom katika mambo yapi....maana sikuona kinachofanana na dom kuanzia barabara hadi hizo huduma.
  4. M

    Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    ..sasa mkuu kupewa hadhi ya kuwa makao makuu miaka ya zamani ndio kujengwa?..yaani wanaijeria walivyo highly educated waende kucopy ramani ya mji wa dom ambao haujajengwa kweli?.unawafahamu wanaijeria?umeshawahi kufika Abuja ukafananisha na dom?..yaani wanaija waache kwenda kujifunza&kuchukua...
  5. M

    Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    ..mkuu acheni story za vijiweni...Nigeria yenye uchumi wa juu Africa ije ichukue ramani ya mji wa dom ambao hata haujajengwa?.ujinga sana 😆
  6. M

    Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

    ..ni kweli mkuu ukiweza plot unayonunua fanyia kitu kinachokuingizia pesa...ila kuwa na plot ni faida zaidi ya kuweka bank..pesa inayokaa bank tu kama akiba inaliwa na inflation na depreciation..pesa unayoiweka kwa plot inapambana na inflation na depreciation hasa maeneo strategic...matumizi ya...
  7. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu hoja yangu sio kuwa na International airport..hoja ni balozi kuhamia kama kuna International Airport...kwa dom hata kama kuna International Airport tatu hakuna International flights zitakazoenda..elewa kuwa na International Airport na kuwa International flights ni vitu viwili...
  8. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..yaani mkuu unaamini kabisa kukiwa na airport mpya dom basi balozi zitahamia?ahahahah..sasa hv si airport ipo au mpaka International Airport?..well fahamu tu hata ikijengwa International Airport sio kigezo cha balozi kujaribu hata kuhamia dom..majirani tu hapo uganda embassy zote zipo kampala...
  9. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu hakuna barabara za ring roads zinazoweza kukidhi mahitaji ya capital city kwa miaka mia ijayo..hakuna..miji mikubwa ilishatoka huko kwa ring roads miaka zaidi ya 50 iliyopita...wenzetu tena majirani tu hapo walishajenga flyovers, expressways, etc..hapo nairob tu kuna expressway yenye...
  10. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu swali zuri kuhusu changamoto zipi za ukuaji wa dom...changamoto kubwa ni uzembe wa wenyeji wa dom kushindwa kujiongeza na kuchangamkia fursa...uzembe wa wenyeji umeshindwa kuwavutia wageni (watz kutoa maeneo mengine)...wenyeji wana sehemu kubwa sana ya kuchochea ukuaji wa mji...kuna...
  11. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    mkuu sasa kuna vitu gani vya kuiba dom?.suala la uhalifu halihusiani na mpangilio wa mji...majiji makubwa yaliyopangiliwa kama new York, London, etc kuna uhalifu sababu kuna vitu vyenye thamani vya kuiba..sasa kama mji hauna ukuaji vibaka wataenda kufanya nini?.. ..pia ujue hata mji wa dsm...
  12. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    mkuu dom ilikuwa designated kama mji mkuu wa Tz toka mwaka 1974 na hakuna any conflict since then..kulinganisha Jerusalem mji wenye conflict kati ya Israel&Palestina na Dodoma ambayo haijawahi kuwa na conflict ni kutofahamu mambo ya kuwa capital city...mchakato wa Dodoma kuwa mji mkuu ulianza...
  13. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu vimejaa tele ingia hii link hapa chini utakuta bei ndogo sana na vina hati..hiki hapa kwenye link ni 5m ila ukiongea vizuri hata 3m utauziwa...
  14. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu mm siongei siasa...unasema ubalozi mdogo wa Germany umehamia dom..umehamia wapi?kwenye plot yao waliyopewa zaidi ya miaka saba iliyopita?.kuna embassy gani zinazoshindwa kujenga jengo lao kwa zaidi ya miaka saba?.nchi zote za nje zina plots dom zaidi ya 7yrs but hakuna aliyeweka hata...
  15. M

    Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    Mkuu kuna International flight gani na kwa abiria wa wapi iwe na route kutoka ulaya kwenda Dodoma?..embassies zote zaidi ya mia mbili zilipewa plots bure kujenga ofisi za balozi zao zaidi ya miaka mitano iliyopita huko dom je kuna hata moja imeanza hata kujenga msingi?..dodoma itachukua miaka...
Back
Top Bottom