Recent content by mkuu123

  1. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma ndio Jiji lenye modern real estate kwa Tanzania

    ...mkuu growth rate ya dom ndio ipo slow ukilinganisha na uwekezaji uliofanywa na Gov toka miaka ya 1980s...toka enzi za sijui ikiitwa CDA walikuwa wanapata pesa nyingi sana kuliko mikoa mingi...ungekuwa ni mji wenye growth rate kubwa ungekuwa mbali sana...hiyo pesa ingewekwa Mwanza au Arusha...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kama CEO wa SafariCom ya Kenya anapata zaidi ya Milioni 500 Kwa mwezi, Wanaosema ukiajiriwa huwezi tajirika huwa wanamaanisha utajiri upi?

    ..mkuu hiyo amount ni Kshs..ukitaka upate Tsh zidisha approx mara 20..so hiyo total Ksh 324.5 ukibadilisha kwenda kwenye Tsh ni Tsh 6.49 Bilion kwa mwaka ambayo ukigawanya kwa 12 months unapata kila mwezi ni Tsh 540.8 million.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Mapendekezo ya nauli mpya jijini Dar. Nauli ya 900 kupanda hadi 2,100. Tutafute hela ndugu zangu, yajayo yanafurahisha

    ..nadhani wameangalia upandaji wa gharama nyingine za uendeshaji mkuu..mafuta yakipanda maana yake spare parts zinapanda, oil zinapanda na labda hata gharama za mafundi wa services zinapanda..waheshimiwa walisema kila kitu kitapanda..sasa ukiweka vyote hivyo kwenye biashara ni kazi sana...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    ..mkuu una maanisha nn kusema "nyumba nzuri inaonekanaga"?..kila nyumba ni nzuri endapo tu anayeishi ameridhika nayo..ukija na kigezo cha sijui "kuonekanaga" kuna mtu anaweza kusema hata nyumba unayoishi wewe ni mbaya haifai binadamu kuishi just because amewahi kuona & kuishi nyumba nzuri kuliko...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Mbwembwe nyingi mitandaoni, lakini makazi ya Baba Mkoani Iringa pa kawaida Sana

    ..mkuu je una uhakika hiyo nyumba aliyokuwa anaishi baba yake ni mbaya kwa kiwango unachosema?.je baba yake aliwahi kulalamika mahali popote kuwa anaishi sehemu mbaya?..maana unaweza kuwa unafikiri makazi mazuri ni majumba makubwa ya ghorofa wakati sio preference ya kila mtu hasa wazee!..watu...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    mkuu narudia kwa mara ya mwisho acha story za vijiweni..umewahi kufika Abuja?inafanana na design ya dom?.kama hujafika angalia basi hata YouTube uje useme hiyo design inafanana na dom katika mambo yapi....maana sikuona kinachofanana na dom kuanzia barabara hadi hizo huduma.
  7. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    ..sasa mkuu kupewa hadhi ya kuwa makao makuu miaka ya zamani ndio kujengwa?..yaani wanaijeria walivyo highly educated waende kucopy ramani ya mji wa dom ambao haujajengwa kweli?.unawafahamu wanaijeria?umeshawahi kufika Abuja ukafananisha na dom?..yaani wanaija waache kwenda kujifunza&kuchukua...
  8. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma yaweza kuwa kama Windhoek

    ..mkuu acheni story za vijiweni...Nigeria yenye uchumi wa juu Africa ije ichukue ramani ya mji wa dom ambao hata haujajengwa?.ujinga sana 😆
  9. M

    JamiiForums Tanzania Kujenga nyumba na kununua magari ni sababu mojawapo ya Umasikini

    ..ni kweli mkuu ukiweza plot unayonunua fanyia kitu kinachokuingizia pesa...ila kuwa na plot ni faida zaidi ya kuweka bank..pesa inayokaa bank tu kama akiba inaliwa na inflation na depreciation..pesa unayoiweka kwa plot inapambana na inflation na depreciation hasa maeneo strategic...matumizi ya...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu hoja yangu sio kuwa na International airport..hoja ni balozi kuhamia kama kuna International Airport...kwa dom hata kama kuna International Airport tatu hakuna International flights zitakazoenda..elewa kuwa na International Airport na kuwa International flights ni vitu viwili...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..yaani mkuu unaamini kabisa kukiwa na airport mpya dom basi balozi zitahamia?ahahahah..sasa hv si airport ipo au mpaka International Airport?..well fahamu tu hata ikijengwa International Airport sio kigezo cha balozi kujaribu hata kuhamia dom..majirani tu hapo uganda embassy zote zipo kampala...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu hakuna barabara za ring roads zinazoweza kukidhi mahitaji ya capital city kwa miaka mia ijayo..hakuna..miji mikubwa ilishatoka huko kwa ring roads miaka zaidi ya 50 iliyopita...wenzetu tena majirani tu hapo walishajenga flyovers, expressways, etc..hapo nairob tu kuna expressway yenye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    ..mkuu swali zuri kuhusu changamoto zipi za ukuaji wa dom...changamoto kubwa ni uzembe wa wenyeji wa dom kushindwa kujiongeza na kuchangamkia fursa...uzembe wa wenyeji umeshindwa kuwavutia wageni (watz kutoa maeneo mengine)...wenyeji wana sehemu kubwa sana ya kuchochea ukuaji wa mji...kuna...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

    mkuu sasa kuna vitu gani vya kuiba dom?.suala la uhalifu halihusiani na mpangilio wa mji...majiji makubwa yaliyopangiliwa kama new York, London, etc kuna uhalifu sababu kuna vitu vyenye thamani vya kuiba..sasa kama mji hauna ukuaji vibaka wataenda kufanya nini?.. ..pia ujue hata mji wa dsm...
Back
Top Bottom