Ndio maana mimi nikipata nafasi ya kwenda kumtembelea ndugu Dar, wakikaa vibaya napiga mashine mke wa bro, piga mashine beki tatu wao na kama usiku lazima niwapake mafuta nyumba nzima
Nikikumbuka niliwahi kupigiwa simu na kuambiwa nadaiwa na microfinance moja mtandaoni, jamaa nilipomwambia sina kitu nilisikia akicheka na kukata simu kumbe kucheka inaweza kuwa ndio taarifa zangu zilitumwa huko 😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.