Habar za majukumu ndugu zangu,kuna jamaa tunahitaji kufanya biashara ya yeye kununua bidhaa hapa Tanzania na mimi kumtumia kwenda Pakistan, sasa yupo mbali sana na bank maana njia nyepesi ingekuwa ni western union au money gram kwahiyo hatoweza kuwa anaenda huko mara Kwa mara kutuma pesa.
Je...
Anaomba ushauri huwa amepata tatizo la kuwashwa mwili sasa akawa anajikuna sana mpaka akatoka vidonda kwenye uume pia makalioni, na kila akijikuna sehemu zingine za mwili anatoka vidonda na hatimaye hufanya vijipu.
Bro ningekuwa mjinga ningekurekodia video na nikuoneshe mazingira tunayofanya kaz na hao wakenya ungewasikia mwenyew, maana hapa pia wanakuona akili huna ila kumbuka sisi ni Wa Afrika na sisi ni ndugu...usimuongelee ndugu yako vibaya hili kutengeneza matabaka
Usiku mwema,
Acha hayo mambo bro...
Sawa pumzika bro,kwan wewe unapata shida gani kuona mambo ya nchi Nyingine? Pumzisha akili tuendelee kuenjoy stim za jaba bro haya ya Tanzania tuachie wenyewe wewe haya kuhusu eti.
Wew jamaa pole sana hapa nilipo kuna wakenya kibao wamekuja kufanya kaz na tunaendelea kuwapokea kama ndugu wa karibu na tunaishi kirafik kabisa na mpaka wake tunawaoza nyinyi ni ndugu zetu na sisi ni ndugu zenu sasa hayo mawazo unayatoa wapi.
Kwani si utuache na Tanzania yetu bro unateseka na nn? Mpaka uanze mambo hayo.
Basi ushauri wako unataka sasa sisi tufanye nini Kwa mtazamo wako?
Nijibu
Sisi ni Wa Tanzania sasa si utuache na Tanzania yetu bro, nyinyi fanyeni hayo mnayoona sawa na sisi mtuache tufanye tunayoona sawa
Sasa kama sisi waoga wewe unateseka na nin au unataka tuweje?
Sisi hatufanani na wengine wowote tuachie na njia zetu tulizochagua kuzipita hili kufika tunapotaka...
Habar wakuu
Kuna siku mida ya saa tatu usiku nilipita sehemu nikavamiwa na vijana wakanikaba,kunitishia silaha na wakafanikiwa kuniibia simu pamoja na pesa kidogo,nikaenda kuripoti kituo Cha polisi nikafungue kesi na kupatiwa RB.
Nikamtafuta mtuhumiwa wangu kimyakimya maana anajulikana na...
Nunua dagaa wale wa baharini wanaitwa uwono Kisha uuze mikoan inalipa sana km utatulia na hautashobokea sana mademu wa kidogo mana Kule baharini utakapokuwa unanunua hiyo bidhaa ni mtihani shekh wangu.
Ukipenda nitafute Kwa muongozo zaid
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.