Mpaka nimekuja kumuulizia hapa ni kwamba yeye ameniomba msaada hili suala nililete huku wapatikane watu Kama wewe WA kumsaidia màana hajui afanye nini...sasa nimuambie hiyo KESI ya kikatiba aende akaanzie wapi!
Asante wanamjua na wanawafahamu wahusika wote hata maaskari waliokuja kumkamata waliacha namba zao kwa mjumbe ,pia wanaonekana sehemu zao za kazi ushirikiano tu ndio imekuwa hakuna
Jamaa ni mjasiriamali tu ni fundi simu na vifaa vya umeme,kuuza makava ya simu,kuweka protects,na vikorokoro vingine vya simu,ni msakatonge tu WA kawaida na hata huyo mjumbe wake anakiri ni kijana mzuri asiye na shida na yoyote hapo mtaani.
Wamempgia amewaelekeza waende kituo cha polisi mburahati,wamefika wamesikilizwa na wameambiwa kwa kuwa hii ni kanda nyingine na chanika alikopelekwa ni kanda nyingine waende wakaonane na RPC
Hapana ni kijana WA kawaida tu WA mtaani amejiajiri ni fundi simu na vifaa vya umeme na kuuza vifaa vya simu ni msakatonge tu WA kawaida na wengi wanamfahamu hana Tabia za ovyo
Atatoa msaada mkuu kama unavyosema au ataleta mambo ya uchama kwenye matatizo halisi ya Mtanzania huyu aliyemuacha mke na mtoto wanateseka kwenye nyumba ya kupanga?hapa sina kitu na Nina familia lakini nawawazia wao
Imagine ni ndugu yako ndio amefanyiwa hivyo ungejisikiaje mkuu?
Anapatkana vipi huyu Kama anaweza kuwasaidia basi tuwape mawasiliano yake awasaidie màana hata hawajui mama na mtoto WA mwaka mmoja asubuhi watakula nini
Inauma sana mkuu
Busara unamaanisha waanze vipi kaka,..wameambiwa HAPA HAKUNA KESI KAMA HIYO NA MSIJE TENA KUULIZIA...wanashindwa hata waende wakaanze vipi na wanajua hapa ndio ndugu Yao yupo...ila mbona Kama hawa wenzetu wanatunyanyasa sana aisee kwani si wanyooshe tu maelezo na watu wamuone ndugu Yao...
Dah braza mm unanichanganya kwa kweli ila Mimi naamini nchi yangu bado ni Safi haijafikiwa huko kwenye mambo ya ushetani mkubwa hivyo ndio màana nasema huenda kuna watu pemben Wana mabifu Yao na mwangosi wakamtwanga risasi kisha wanasakizia serikali ili ionekane mbaya,sasa Kama akwilina alikuwa...
Mtu ambaye anaweza kutupa msaada ndio hapa anatafutwa kaka ,m
Mtu ambaye anaweza kutoa msaada ndio hapa anatafutwa kaka,TENA anayewatafutia ni mtu mwingine kabisa aliyejitolea màana wao wameshakuwa wanyonge na kujiona Kama wakimbizi kwenye nchi Yao wenyewe na hata Mimi wameniambia maneno haya...
Huwa siamin kabisa katika hii paragraph yako ya Tatu mkuu,..Serikali haitumi wauaji,yaani serikali haswa iwakusanye wewe na wewe na wewe kamanda ova kafanyeni mauaji kwa hawa raia kwa sababu hii na hii ..Mimi huwa nasikia sikia ila hili jambo halipo bhana.
Isipokuwa naamini kuna vikundi vya...
Inauma sana kaka,mm nilipopewa hii habari na nikapiga simu kwa mama WA aliyepotezwa na wake zake kujiridhisha na mjumbe pia nilijisikia uchungu sana,mpaka nimewaandikia waraka huu bado najisikia uchungu sana,.sasa sijui wao wenye ndugu wanajisikiaje na Hali ya kuwa polisi hao waliohusikq...
Hapana,Tanzania yetu tunayoijua,kuipenda na kuilinda kwa jasho na damu ni Tanzania ileile ambayo haijawekwa wala haitawekeka mikononi mwa watu wasiozingatia utawala WA Katiba na sheria.ISIPOKUWA kuna watu wachache ambao wao wanajiona wana mamlaka ya kuifanya Tanzania yetu vile watakavyo bila...
Inaonekana unajuana nao sana mkuu,ila sijauliza walivyo Zaid ya majina Yao basi saidia hata kidogo kuwaulizia hao washikaji zako jamaa wamempeleka wapi màana mkewe anashindq njaa na mtoto mdogo Leo nimewatumia elfu sita watoe elfu tano nikiwa kwenye mlango WA bar nikanywe bia Tatu nikaghair...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.