Kiburi Cha huyu mwekezaji anakitoa ikulu ,ambapo kaka yake Mke wa mwekezaji ndugu Mwinyi yupo Ikulu na Samia ,ndo maana anakuwa na dharau Kama zote ,Kila akiguswa anasingizia Rais ndo kampa mamlaka yote Hadi wafanyabiashara ndani ya soko lake wanalipa Kodi kubwa
Niliitwa kama mwandishi kwenye kikao cha wafanyabiashara wa Soko la CCM Katoro Geita. Nilifika kusikiliza kero zao kuhusu vitendo vya mwekezaji wa soko hilo ambavyo vimekuwa vikiwanyanyasa wafanyabiashara.
Malalamiko yao yalikuwa mazito
1. Hakuna bei elekezi ya kodi kwenye soko. Mwekezaji...
Kitendo cha Serikali kufungia kanisa ,ambapo kazi ya dini ni kukemea maovu ,kisa kukosolewa ,ni kunajisi dini ya kikiristo,Dini zote za kikiristo tushikamane kupinga viongozi kuingilia mahubiri yetu yakiwagusa .....huu ndo muda wa kuangusha utawala kabisa.
Wadau wa JF ,naomba mnisaidie ni hatua gani za kufata kuweza kusajili na kumiliki kampuni ya mikopo ,pia ni gharama kiasi gani zinahitajika mpaka kukamilisha kabisa usajili wake .....
Nimeshangaa kuona jamaa yangu mmoja leo ambae huwa ni dereva bodaboda karibia mwaka wa tisa sasa akisema ametoka kufanya interview ya ualimu, Kwanza nimeshangaa maana sikuwahi kujua kama ni mhitimu wa degree ya ualimu mwaka 2015 kutokana na kumuona yupo serious na kazi hiyo
Kinachonishangaza ni...
Nimepokea kwa masikitiko sana baada ya kuona baadhi ya vijana waliopata nafasi ya kushughulikia zoezi la uboreshaji daftari la kudumu la wapiga Kura.
Jimbo la Bukoba Mjini wakitapeliwa kiasi Cha shilingi elfu sitini ,kwa kila mmoja yaani hela ya siku moja .Ni aibu kubwa kwa kijana ambaye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.